Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Hello JF Members, tuachane na utani. Let's discuss this serious issue
Kuna binti wa jirani yangu hapa. Anatokea bush ndani ndani. Baada ya kuanzisha utani wa hapa na pale na kumgusia suala zima la kumuoa, kajikuta amedata. Siku ya jana mida ya saa 11 jioni wakati natoka mizungukoni, nikakuta mazingira hayana nzi, nikamvuta ndani nikala tunda kimasihara
Japo nilitumia njia ya asili ya kudhibiti ujauzito, njia ya kumwaga nje, bado moyo wangu umejawa na wasiwasi mkubwa sana kwa kuwa nimejaribu kuuliza kwa wadau kama hii njia inafanya kazi, wameishia kuniambia kuwa nimeyakanyaga, nilikwenda round moja tu. Truth of all Sijampenda kimwonekano, ukiachana na hilo sidhani kama naweza kuongeza mzigo wa kuitwa Baba wa mtoto wa mwanamke mwingine cause uchumi wangu hauruhusu, kama nitaforce nitajikuta nshaukwaa mwili wa Leonardo
Nachotaka kufahamu ni uwezekano wa huyu binti kuwa mjamzito, maake yeye binafsi hajijui. She is from Bush
Kuna binti wa jirani yangu hapa. Anatokea bush ndani ndani. Baada ya kuanzisha utani wa hapa na pale na kumgusia suala zima la kumuoa, kajikuta amedata. Siku ya jana mida ya saa 11 jioni wakati natoka mizungukoni, nikakuta mazingira hayana nzi, nikamvuta ndani nikala tunda kimasihara
Japo nilitumia njia ya asili ya kudhibiti ujauzito, njia ya kumwaga nje, bado moyo wangu umejawa na wasiwasi mkubwa sana kwa kuwa nimejaribu kuuliza kwa wadau kama hii njia inafanya kazi, wameishia kuniambia kuwa nimeyakanyaga, nilikwenda round moja tu. Truth of all Sijampenda kimwonekano, ukiachana na hilo sidhani kama naweza kuongeza mzigo wa kuitwa Baba wa mtoto wa mwanamke mwingine cause uchumi wangu hauruhusu, kama nitaforce nitajikuta nshaukwaa mwili wa Leonardo
Nachotaka kufahamu ni uwezekano wa huyu binti kuwa mjamzito, maake yeye binafsi hajijui. She is from Bush