Nikiifikiria dunia, naona bora hata nisingekuwepo tu

Nikiifikiria dunia, naona bora hata nisingekuwepo tu

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Yaani ukifikiria jinsi mtu unavyo hangaika mpaka jasho la meno Ili upate chappa uishi vizuri.

Halafu ufikirie kufa unaona yani kama unapoteza wakati vile maana utavitafuta weee alafu hata hauenjoy yan paaap umedanja wanafaidi wengine jasho lako

Huwa inanikata moto yani nikifikiria kufa naona hii dunia kama hainitendei haki vile bado ujakutana na vikwazo vya shetani hapo mara umebaka miaka 30 jela mala umegongwa umevunjika nyonga tabu tupu

Ukifa sasa Sir GOD anakusubiri kwa hamu sana akupe malipo yako humu duniani et kila kitu cha shetani yaan madem walivyo wakali halafu unambie hata kuwatamani tu ni zambi aaawapii bado kitu cha bia ujacheza mapiano za tembo et vyote dhambi jamani eeeee

Mbona hii dunia inatunyima utamu hasa hii dini yetu acha tu wanaume tulivyo na tamaa na kukinai radha moja unambie kuoa ni mke mmoja tu na sisi wenye nyota ya kunguni umeoa bondia humo ndani et huwezi kuachna na ukiforce ukaoa umezini kwaiyo hata kama unadundwa na mke uvumilie tu ndo pepo itafunguka kwetu

Dunia tamu sema BABA yetu katuzuia vyote sijui kama nitaweza maana naona labda nisingekuwepo humu duniani ningeweza
NIMEICHOKA DUNIA KUJIUA NAPO ZAMBI SHIDA TUPU.
 
Ndio maana hata biblia inasema maisha ya ya mwanadamu yamejaa ubatili mtupu.

Haya mambo yote tunayohangaikia mwisho wa siku tunayaacha hapahapa duniani.

Uliumbwa kwa mchanga na utarudi kwa mchanga, ulikuja duniani mtupu Tena ingali ukiwa uchi, na utaondoka mtupu Mali, fedha, mwili utaviacha hapa duniani Cha msingi ni kutenda wema na kuishi kwa kumtegemea Mwenyezi Mungu.
 
Njoo kwa Yesu mkuu. Maisha huwa yanaanza kuwa na maana pale unapompokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako, kwa kuwa hapa ndipo unapogundua kuwa wewe ni kiumbe uliyeumbwa uishi na Mungu milele. Kabla ya kufanyika haya maisha hubaki kuwa meaningless!!!!!

YESU NI MWOKOZI
 
Yaani ukifikiria jinsi mtu unavyo hangaika mpaka jasho la meno Ili upate chappa uishi vizuri
halafu ufikirie kufa unaona yani kama unapoteza wakati vile maana utavitafuta weee alafu hata hauenjoy yan paaap umedanja wanafaidi wengine jasho lako...
Umeamua kumpa makavu
 
Njoo kwa Yesu mkuu. Maisha huwa yanaanza kuwa na maana pale unapompokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako, kwa kuwa hapa ndipo unapogundua kuwa wewe ni kiumbe uliyeumbwa uishi na Mungu milele. Kabla ya kufanyika haya maisha hubaki kuwa meaningless!!!!!

YESU NI MWOKOZI
We uko nae hapo Yesu
 
Yaani ukifikiria jinsi mtu unavyo hangaika mpaka jasho la meno Ili upate chappa uishi vizuri
halafu ufikirie kufa unaona yani kama unapoteza wakati vile maana utavitafuta weee alafu hata hauenjoy yan paaap umedanja wanafaidi wengine jasho lako...
Kuhusu kuoa wewe oa hata kumi..sio kosa ule ulikua ushauri tu mzee baba..ndio mana huwezi kutahiyo sheria ya uwe na mke mmoja kwenye amri kumi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Maisha ni rahisi sana kama umeamua iwe hivyo tofauti na hapo utaishi maishi ya sio yako kwa shida sana.

Mfano uliposema unatafuta hela au mali wanatumia wengine ukiiweka hivi wewe umeubwa kusaudia wengine utaishi vizuri sana.

Hata ukifa inakuwa umejitahidi kutenda wema

Mfano umepata ajali umevunjika nyonga, unasema asante Mungu Umeniacha salama kwakuwa unongo na akili ninayo nitakushukuru wewe!
 
Yaani ukifikiria jinsi mtu unavyo hangaika mpaka jasho la meno Ili upate chappa uishi vizuri
halafu ufikirie kufa unaona yani kama unapoteza wakati vile maana utavitafuta weee alafu hata hauenjoy yan paaap umedanja wanafaidi wengine jasho lako...
Hata mm naona mzigo tu. Sijaona cha maana
 
You are within the cycle you must feel the rhythm!
Ndugu ujue nilikuwa nadhani 80% mungu mkuu kuliko wote lazima awe anafanya mistakes kwasababu hawez kuiona future yake.

Maana ukiona future yako inaweza kuonekana ujue spiritual series of honour upo chin kuna kitu kipo juu yako kinaamua au kilisha panga ww utaishisheje.
 
Back
Top Bottom