Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kufikia uamuzi wa kujiua its no joke ujue..tupendane,tujengane,tusaidiane,haya maisha hamna atayeyamaliza mzima..tuoneshaneni upendo.Mshaurini aende kwa mwanasaikolojia haraka Sana.
By the way watu kama Hawa hua naona bora wafe kwa sababu ni hatari wanaweza wasababishia wengine majanga kwa hiyo msiwazuie..
Hujaskia mwingine alotaka kuua familia na yeye ajinyonge Kisa maisha magumu na akiwaacha hai eti watayeseka.
kila siku kukimbizwa na paka na hata hujamkosea,kwanini asilalamike.Ungeumbwa panya naamini bado ungelalamika tu...
Mshaurini aende kwa mwanasaikolojia haraka Sana.K
kauli kama hizi unaweza ukazan unachekesha,ila kwa watu wenye msongo wa mawazo,sonona au kuwa kwenye hali yoyote ya kukosa tumaini.Mtu anaweza akijiua kweli,mda mwingine kama hauna jambo zuri la kuongea ni bora ukae kimya..ni ushauri tu,life is real.
Watu wa hivyo siwataki,kama hawezi jithamini kamwe hawezi thamini wengine.Huyo awahi tuu.kufikia uamuzi wa kujiua its no joke ujue..tupendane,tujengane,tusaidiane,haya maisha hamna atayeyamaliza mzima..tuoneshaneni upendo.
kila siku kukimbizwa na paka na hata hujamkosea,kwanini asilalamike.
nakuelewa mkuu,ila msaada uanzie hapo kwanini ashindwe kujithamini,is it by default au sisi sisi binadamu tunasababishiana haya? Ukiangalia matatizo mengi ya watu yamesababisha na watu wenyewe. Au huenda hata ni mental fault tu ambayo pia msaada unahitajika.Mshaurini aende kwa mwanasaikolojia haraka Sana.
By the way watu kama Hawa hua naona bora wafe kwa sababu ni hatari wanaweza wasababishia wengine majanga kwa hiyo msiwazuie..
Hujaskia mwingine alotaka kuua familia na yeye ajinyonge Kisa maisha magumu na akiwaacha hai eti watayeseka.
Watu wa hivyo siwataki,kama hawezi jithamini kamwe hawezi thamini wengine.Huyo awahi tuu.
Kama kaumbwa hivyo wewe hakuna kitu utaweza kubadili.nakuelewa mkuu,ila msaada uanzie hapo kwanini ashindwe kujithamini,is it by default au sisi sisi binadamu tunasababishiana haya? Ukiangalia matatizo mengi ya watu yamesababisha na watu wenyewe. Au huenda hata ni mental fault tu ambayo pia msaada unahitajika.
Ukichunguza kila kitu kina chanzo naamini.Na upendo hushinda yote.Kama kaumbwa hivyo wewe hakuna kitu utaweza kubadili.
Umemezwa na propaganda za kirumi hao wahuni walivyoona jamaa ana wafusi wengi na kaawaamsha wengi wakatumia fursa ya kumpa uungu yaani wakisema alikua ni mwana wa miungu na wakamuundia dini Ili kuunganisha Watu wote wawe wamoja na hiyo KAZI aliifanya mfalme mwenye akili mingi Constantine na akafanikiwa Kwa kiwango kikubwa sana!Ila kwa kifupi mission yake haikuwa kufanya harakati wala kupigania uhuru wa kiyuda kama ulivyodai. Labda uhuru wa kifikra na tena kwa watu wote. Labda unijuze kwa hayo madai yako.
Yesu ndio Nani?Njoo kwa Yesu mkuu. Maisha huwa yanaanza kuwa na maana pale unapompokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako, kwa kuwa hapa ndipo unapogundua kuwa wewe ni kiumbe uliyeumbwa uishi na Mungu milele. Kabla ya kufanyika haya maisha hubaki kuwa meaningless!!!!!
YESU NI MWOKOZI
Yesu alikuwa mwanaharakati kama Tundu Lissu.Yesu mwenyewe yalimshinda akaishia kula kichapo Kwa warumi maana alikua anawapigania raia wasiojielewa watoke mikononi mwa ukoloni wa warumi mwisho akadakwa na kusulubishwa mpaka akadanja,
Halafu unamshauri mwenzio aje Kwa Yesu kufanya Nini wakati hata yeye Hizo hustle zilimshinda?
Wengi hawalijui Hilo Kwa mfano nenda katazame filamu inaitwa Ben Hur inalezea kisa Cha jamaa mmoja wakuitwa Judah alikua mpigania uhuru nae alietokea familia ya kitajiri baadae akaja kuingia matatani na serikali ya warumi wakaja ikamata familia yake nzima baada ya dogo aliyekua mwasi kufanya tukio na wakati anakimbizwa yuda akamwona akamvuta na akamficha kwenye jumba lao hao wote walikua wamelishwa sumu na jamaa mmoja wakuitwa Yesu (Yashua) aliyekua carpenter kitaa na walikua wanamkubali sana maana alikua anawapa morale wanaharakati bubu woteYesu alikuwa mwanaharakati kama Tundu Lissu.
Hahahahahahahha umewaza nini?Ungeumbwa panya naamini bado ungelalamika tu...
Ndy maana kuna kuku humu ndani zinasema bora niwahi kufa sio shida mzee ila kujiua me bado naupenda ugali bwanaUkichunguza kila kitu kina chanzo naamini.Na upendo hushinda yote.
Na watu wengi hawaelewi nilicho maanisha hapa sijasema maisha yangu magumu au nataka kujinyonga ni meeleza vilivyopo moyoni kwamba hii dunia kama haiko fear kwa wote hasa kuangalia vitu vizuri na vitamu vingi vya shetani mbona iwe hivyo.Umeandika kitu chamaana sana haina haja .kugombania vitu vyaulimwengu huu
Mwana wa mungu aliye juu na njia ya kweli ya uzima wa mileleYesu ndio Nani?
Kumbuka mungu sio babu yako wa lolihondoYesu alikuwa mwanaharakati kama Tundu Lissu.
Hahahahahahahha umewaza nini?