Nikikaa muda mrefu nawashwa sana makalio, hii imekaaje?

Nikikaa muda mrefu nawashwa sana makalio, hii imekaaje?

Ex-Tabora boys student, are you? The way you call the buttocks hahaaa pole ndugu
 
Engineer wote [emoji115] [emoji115] [emoji115] wamekupa ushauri khs tatizo lako.
Ndy ufanye maandaliza saa hz uende Pharmacy uweze kununua tablets za Minyoo ili mapemaa alfajiri upate kuzitumia.

Dah... Asante sana mzee franksarry na mazee wote humu MMU...

Kumbe mna moyo wa kusaidiana mazee....
Tatizo sometimes mnakua na mambo ya KIBOYA..
Ndo Maana huwa NAWACHANA KISHENZ...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Hata mimi nishawahi kuwa na hill tatizo hadi ikabidi nilete thread JF doctor.
Nilishauriwa nimeze dawa za minyoo na ilisaidia tatizo likaisha kabisa.

Ila pia inatagemea unawashwa sehemu ya haja kubwa au makalio kwa ujumla.
Kama ni sehemu ya haja kubwa ni minyoo.
Kama ni makalio kwa ujumla inatokana na material ya nguo za ndani unazovaa ndio zinapelekea ukikas muda mrefu unawashwa.
Ikiwa tatizo ni hilo badili material yawe ya cotton itasaidia


Ni makalio kwa ujumla...
Asante sana kwa ushaur wenye maelezo ya kina..
Dah... Hadi naanza kupata hisia za mapenz juu yako... MUMEO atakua anafaidi...
Ama we ni mwanaume!!!!!

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Punguza kitimoto mkuu, una minyoo iliyotoka kwenye kitimoto isiyoivishwa
 
Mkuu kapime minyoo au kaswende japo kaswende kuigundua ni vigumu mpaka uchunguze historia vizuri
 
Ha ha ha. Bora uwe umesimama karibu na ukuta imagine wewe ni lecturer ama mwalimu afu ndio muwasho umekolea sasa

Unavumilia mpaka jasho linakutoka na mimacho inakuwa mekundu shingo inakaza..kifuatacho lazima uje jf
 
Back
Top Bottom