Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
nyumba kwa 6 million. benki gani kakopa tumvizie huyu.Ni heri muweke dhamana gari kuliko nyumba.. inategemea na kampuni unayokopa na riba zao..
6m kwa miez sita utarudisha 7.5m kwa wanaotumia 3.5% interest
We mjnga acha ujuaji, takwa la kupata VISA ya Canada na Marekani unatakiwa uwe na 5m bank kama sio full funded scholarship sasa wewe kwaakili zako unataka nkupe 20 milion nmekwambia nataka kufungua biashara? muwe msoma na kuelewa ndo muandike, kwan uko shule ulisomea ujnga?nyumba kwa 6 million. benki gani kakopa tumvizie huyu.
Gar hatunaNi heri muweke dhamana gari kuliko nyumba.. inategemea na kampuni unayokopa na riba zao..
6m kwa miez sita utarudisha 7.5m kwa wanaotumia 3.5% interest
Hili nalo linadegree unaenda kufeli huko bora ufanye mengine maana lugha nzuri huna na hujaelewa mwamba alikuwa anamaanisha nini ukakurupuka kakope ukadange ulipeWe mjnga acha ujuaji, takwa la kupata VISA ya Canada na Marekani unatakiwa uwe na 5m bank kama sio full funded scholarship sasa wewe kwaakili zako unataka nkupe 20 milion nmekwambia nataka kufungua biashara? muwe msoma na kuelewa ndo muandike, kwan uko shule ulisomea ujnga?
We n zwazwa kama uyo mwenzio nmetaka kujua riba tu sijataka ushauri mwngne napia unavosema nakurupuka umechangia hata tofali kwenye hyo nyumba? vlevle umeelewa kwanza nlichoondika au umekurupuka kumsapoti huyo mjnga? na mwsho mm au sisi tunatarget kulipa riba tu ambayo tunaimuda maana hyo 6m itarudishwa yote pale tu ntapopata VISA kwamaana hyo hatutaitumia hyoHili nalo linadegree unaenda kufeli huko bora ufanye mengine maana lugha nzuri huna na hujaelewa mwamba alikuwa anamaanisha nini ukakurupuka kakope ukadange ulipe
Inategemea huo mkopo niwamuda gani riba inategemeana na muda utakaokaa na huo mkopo!.Nia yangu kubwa ni kwenda kusoma MASTERS nje kwa njia yeyote ile ambayo haihusishi matumizi ya njia haramu yeyote, Sasa nimeongea na wazazi wamekubali kuweka nyumba dhamana nipate mkopo bank wa milioni 6 kama kigezo moja wapo kupata VISA ya kuingia baadhi ya nchi kama umepata partial scholarship.
Sasa swali je tukikopa hyo 6M riba yake ipoje na tunataka tuilipe kwa mwaka mmoja tu! yan nikipa mkopo na nkpata VISA hyo hela yote nairudisha bank ibaki deni la riba tu ambayo ndo nataka kuijua itakua shingapi?
Nyie ndo walewale yan npate admission, npate scholarship tena nkidhi kgezo cha uchumi halafu nkose VISA hv unatumia akili kweli? au ndo roho za ktanzania kukatishana tamaaUkishakopa wahuni wakakunyima VISA ndo utajua hujui kuwa visa likipasuka linanuka mbaya mbovu.
Anyway tafutafuta odds 10 weka milioni betpawa hukosi milioni 12
Mwaka mmoja tuInategemea huo mkopo niwamuda gani riba inategemeana na muda utakaokaa na huo mkopo!.
AsanteNi heri muweke dhamana gari kuliko nyumba.. inategemea na kampuni unayokopa na riba zao..
6m kwa miez sita utarudisha 7.5m kwa wanaotumia 3.5% interest
Kwa mwaka mmoja riba yake ni ndogo haizidi milioni moja!Mwaka mmoja tu
HI tunaimuduKwa mwaka mmoja riba yake ni ndogo haizidi milioni moja!
Asant
HI tunaimudu
Mkuu una Degree hata kama ni ya kufuga mbwa na hujui unapotaka kukopa riba yao ni kiasi gani kwa mwaka?Nia yangu kubwa ni kwenda kusoma MASTERS nje kwa njia yeyote ile ambayo haihusishi matumizi ya njia haramu yeyote, Sasa nimeongea na wazazi wamekubali kuweka nyumba dhamana nipate mkopo bank wa milioni 6 kama kigezo moja wapo kupata VISA ya kuingia baadhi ya nchi kama umepata partial scholarship.
Sasa swali je tukikopa hyo 6M riba yake ipoje na tunataka tuilipe kwa mwaka mmoja tu! yan nikipa mkopo na nkpata VISA hyo hela yote nairudisha bank ibaki deni la riba tu ambayo ndo nataka kuijua itakua shingapi?
Asant mkuu ndoto yang inamwangaKabisa affordable!
Mkuu hyo n wrtng style ya ujana tu, pia swali lako general maana humu kila mtu anatumia bank yake na zpo nyng hzo bank kwahyo nataka kila mtu achangie kwa experience ya bank anayotumia sjataka kuwa specific maana ntakosa maon meng ya msngMkuu una Degree hata kama ni ya kufuga mbwa na hujui unapotaka kukopa riba yao ni kiasi gani kwa mwaka?
Unakuja kutuuliza sisi ambao hatujui unakopa benki gani tukujulishe riba yao?
Na umesema unaenda Master's (ambayo unaandika Masters)?