Nikikubali mtaniona 'dhaifu' ila nikikataa 'nitaumbuka' zaidi lakini 'nikinyamaza' naweza 'Kunyimwa' zaidi. Je, lipi jema?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ogopa sana kumfanyia Unyangindo (Uhuni) Mtu ambaye anakujua vyema kuliko hata Wewe unavyojijua halafu hata ukiwa tu na shida unamkimbilia. GENTAMYCINE nimekula 'Pesa' ya Mzungu tena ambaye ni Rafiki yangu mkubwa tu ila kuna 'Hela' fulani alinipa ili 'niitibie' Familia yangu kwa 'Ugonjwa' mkubwa Mimi nikawaficha na Kuila kwa 'Kuihongea' na leo 'Wananiumbua' wazi wazi.
 
Wenyewe wanalumumba wanashindwa kijibu swali la mabeberu kuhusu walikopeleka pesa za msaada wa kupambana na COVID-19 wanabaki kubwabwaja tu. Mara ooh, vita vya kiuchumi, mara ooh, McAllister anaichukia Tanzania na Magufuli.

Jibuni swali, "Fedha za maaada mmepeleka wapi?
 
Mkuu nilimdanganya huyu Rafiki yangu 'Mzungu' kuwa nina Wagonjwa na akanipa Pesa ila sikuwatibia na nikazila ila sasa ndiyo 'Wanaumwa' Kweli.
 
ugonjwa kwa wanafamilia uliondoka kwa neno baadae pesa za msaada ukanunulia kahawa na kuku kwa yule babu aliyevaa shati la photosynthesis
 
Tumeumbuka mkuu๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
EU hawataki mchezo safari hii, rudisheni pesa za watu.

Huu upuuzi wenu wa kupokea maburungutu ya hela za mabeberu halafu kumbe mnafahamu 'ugonjwa' haupo kwa miujiza ya Jiwe, unali'cost taifa zima . !
 
Ni Aibu sana ,Mkuu kwani ulifikiri hapo ulipo ni mbaaaali sana kiasi ukahisi hawezi stuka kwa ulicho kifanya !?

Mbaya zaidi Familia ndio inapiga kelele baada ya wewe kuitumia vibaya Pesa ya Rafiki yako ,na umejitahidi weeh kuiziba Mdomo umeshindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ