GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkuu nilimdanganya huyu Rafiki yangu 'Mzungu' kuwa nina Wagonjwa na akanipa Pesa ila sikuwatibia na nikazila ila sasa ndiyo 'Wanaumwa' Kweli.Wenyewe wanalumumba wanashindwa kijibu swali la mabeberu kuhusu walikopeleka pesa za msaada wa kupambana na COVID-19 wanabaki kubwabwaja tu. Mara ooh, vita vya kiuchumi, mara ooh, McAllister anaichukia Tanzania na Magufuli.
Jibuni swali, "Fedha za maaada mmepeleka wapi?
Uko vizuri kwenye "lugha tata" mkuuUnarudishaje sasa wakati pesa umechorea makatuni kwenye mabango ukatandaza chumba kizima.
Mzungu anata return.
Mwambie ulichorea katuni
Nimehongea tena Wake za Watu Arusha, Kisarawe Pwani, Tanga na wengine Mwanza na Kagera huku zilizobaki nimeweka Lami kwetu huko Mara.Utazitapika!
Tumeumbuka mkuu๐๐Ogopa sana kumfanyia Unyangindo ( Uhuni ) Mtu ambaye anakujua vyema kuliko hata Wewe unavyojijua halafu hata ukiwa tu na shida unamkimbilia. GENTAMYCINE nimekula 'Pesa' ya Mzungu tena ambaye ni Rafiki yangu mkubwa tu ila kuna 'Hela' fulani alinipa ili 'niitibie' Familia yangu kwa 'Ugonjwa' mkubwa Mimi nikawaficha na Kuila kwa 'Kuihongea' na leo 'Wananiumbua' wazi wazi.
Kwani na Wewe pia 'umekula' vya 'Wazungu' Mkuu kama Mimi? Na sijui ni 'Mbea' gani kaenda Kunisemea kwa huyu Mzungu huko Ulaya anakoishi.Tumeumbuka mkuu๐๐
Zitatoka wapi mkuu na tulishatafuna bila maelekezo?!Hapo Rudisha ili urafiki uendelee vinginevyo huo ni utapeli na ufisadi wa wawazi
EU hawataki mchezo safari hii, rudisheni pesa za watu.Ogopa sana kumfanyia Unyangindo ( Uhuni ) Mtu ambaye anakujua vyema kuliko hata Wewe unavyojijua halafu hata ukiwa tu na shida unamkimbilia. GENTAMYCINE nimekula 'Pesa' ya Mzungu tena ambaye ni Rafiki yangu mkubwa tu ila kuna 'Hela' fulani alinipa ili 'niitibie' Familia yangu kwa 'Ugonjwa' mkubwa Mimi nikawaficha na Kuila kwa 'Kuihongea' na leo 'Wananiumbua' wazi wazi.