Hahaha wanasema tumekula wote na sio peke yao.ππKwani na Wewe pia 'umekula' vya 'Wazungu' Mkuu kama Mimi? Na sijui ni 'Mbea' gani kaenda Kunisemea kwa huyu Mzungu huko Ulaya anakoishi.
Ni vyema kama 'Uzi' ukiwa umenzishwa 'Kimafumbo' hivi basi nawe pia utiririke na userereke nao 'Kimafumbo' hivyo hivyo ili kutoharibu 'rhythm' nzima. au unadhani ni Wewe tu pekee ndiyo umeweza 'Kukielewa' nilichokikusudia na kukilenga hapa na kwamba hawa 'Members' wengine wote waliokutangulia 'Kukomenti' wao hawajanielewa? Umenikera mno na unaonekana una 'Kiherehere' Waganda wanasema una 'Lugezigezi' sana tu.EU hawataki mchezo safari hii, rudisheni pesa za watu.
Huu upuuzi wenu wa kupokea maburungutu ya hela za mabeberu halafu kumbe mnafahamu 'ugonjwa' haupo kwa miujiza ya Jiwe, unali'cost taifa zima . !
Nimehongea tena Wake za Watu Arusha, Kisarawe Pwani, Tanga na wengine Mwanza na Kagera huku zilizobaki nimeweka Lami kwetu huko Mara.
Ciril Mkuu nipe 'Maujanja' basi ili 'nimpoze' huyu 'Mzungu' kwani Akiba ( Hazina ) Kwangu 'Kumekauka' sasa na 'Familia' yangu 'itateteseka' baadae.Ni Aibu sana ,Mkuu kwani ulifikiri hapo ulipo ni mbaaaali sana kiasi ukahisi hawezi stuka kwa ulicho kifanya !?
Mbaya zaidi Familia ndio inapiga kelele baada ya wewe kuitumia vibaya Pesa ya Rafiki yako ,na umejitahidi weeh kuiziba Mdomo umeshindwa.
Hayo 'mafumbo'unamfumbia nani?Ni vyema kama 'Uzi' ukiwa umenzishwa 'Kimafumbo' hivi basi nawe pia utiririke na userereke nao 'Kimafumbo' hivyo hivyo ili kutoharibu 'rhythm' nzima. au unadhani ni Wewe tu pekee ndiyo umeweza 'Kukielewa' nilichokikusudia na kukilenga hapa na kwamba hawa 'Members' wengine wote waliokutangulia 'Kukomenti' wao hawajanielewa? Umenikera mno na unaonekana una 'Kiherehere' Waganda wanasema una 'Lugezigezi' sana tu.
Nawewe umekuwa Jiwe unawapangia watu jinsi ya kucoment?Ni vyema kama 'Uzi' ukiwa umenzishwa 'Kimafumbo' hivi basi nawe pia utiririke na userereke nao 'Kimafumbo' hivyo hivyo ili kutoharibu 'rhythm' nzima. au unadhani ni Wewe tu pekee ndiyo umeweza 'Kukielewa' nilichokikusudia na kukilenga hapa na kwamba hawa 'Members' wengine wote waliokutangulia 'Kukomenti' wao hawajanielewa? Umenikera mno na unaonekana una 'Kiherehere' Waganda wanasema una 'Lugezigezi' sana tu.
Ciril Mkuu nipe 'Maujanja' basi ili 'nimpoze' huyu 'Mzungu' kwani Akiba ( Hazina ) Kwangu 'Kumekauka' sasa na 'Familia' yangu 'itateteseka' baadae.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]In Meko voice?Utazitapika!
π π π πZitatoka wapi mkuu na tulishatafuna bila maelekezo?!
Tulijiambia ya burebure hii hawa waache wapambane na herd immunity.ππ
Ila nadhani Mimi ndiyo 'nimeila' zaidi kwani hapa juzi tu nilikuwa na 'Sherehe' Kubwa ambayo ilinifanya pia niweze 'Kuwanunua' Wageni wa mbali huku wengine 'nikiwaahidi' kuwa wakihudhuria tu basi nitawapa 'Zawadi' na wale niliowapa 'dhamana' ya kuhakikisha 'Sherehe' yangu 'inafana' sana nao pia niwapa sehemu ya huo 'Mgao' ambao Mimi niliuomba nikawatibie Wanafamilia wangu kwa Ugonjwa wa 'KOROMA' sana.Hahaha wanasema tumekula wote na sio peke yao.ππ
Nawewe umekuwa Jiwe unawapangia watu jinsi ya kucoment?
Pumbavu nimekuita?Hayo 'mafumbo'unamfumbia nani?
Hizo style za 'kidada' wengine hatuziwezi!
Nimeputa leo mnazi mmoja hospitali nikasikia wanatangaza kunakopatikana vipimo vya korona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani na Wewe pia 'umekula' vya 'Wazungu' Mkuu kama Mimi? Na sijui ni 'Mbea' gani kaenda Kunisemea kwa huyu Mzungu huko Ulaya anakoishi.
Ila nadhani Mimi ndiyo 'nimeila' zaidi kwani hapa juzi tu nilikuwa na 'Sherehe' Kubwa ambayo ilinifanya pia niweze 'Kuwanunua' Wageni wa mbali huku wengine 'nikiwaahidi' kuwa wakihudhuria tu basi nitawapa 'Zawadi' na wale niliowapa 'dhamana' ya kuhakikisha 'Sherehe' yangu 'inafana' sana nao pia niwapa sehemu ya huo 'Mgao' ambao Mimi niliuomba nikawatibie Wanafamilia wangu kwa Ugonjwa wa 'KOROMA' sana.
Kwani kuna mtu ulim'mention' kwenye uzi wako?Pumbavu nimekuita?
Hao wengine waliousoma na Kuuelewa huu 'Uzi' na 'Uwasilishaji' wake wa 'Kimafumbo' na Wao wanachangia 'Kimafumbo' unadhani ni 'Majuha' kama Wewe na huyo 'Mpuuzi' mwenzako hapo juu? Kwahiyo Wewe na huyo 'Mpuuzi' mwenzako ndiyo mnajianya Kuelewa sana hivyo 'mmewashwawashwa' huko 'Kunako' Kwenu na kuja na 'Viherehere' hivi cha 'Kukomenti' kiuwazi zaidi? Mnakera na sijawaiteni katika huu 'Uzi' sawa?Nawewe umekuwa Jiwe unawapangia watu jinsi ya kucoment?
Popoma genius,umefunga inbox? najaribu kukuchekiOgopa sana kumfanyia Unyangindo ( Uhuni ) Mtu ambaye anakujua vyema kuliko hata Wewe unavyojijua halafu hata ukiwa tu na shida unamkimbilia. GENTAMYCINE nimekula 'Pesa' ya Mzungu tena ambaye ni Rafiki yangu mkubwa tu ila kuna 'Hela' fulani alinipa ili 'niitibie' Familia yangu kwa 'Ugonjwa' mkubwa Mimi nikawaficha na Kuila kwa 'Kuihongea' na leo 'Wananiumbua' wazi wazi.
Mpumbavu huyo hawezi Kukuelewa na wapo wengi tu kama Yeye ambao wanadhani kuja na aina hii ya 'Uwasilishaji' wa 'Mafumbo' nimekurupuka.Sio kama nna mtetea ile Hukumu ya Max kuhusu Jamiiforums pengine ndio ina pelekea kuletewa tungo tata kuwakwepa hawa walio shika mpini Mkuu.