Nikikumbuka enzi zile ndege ilinunuliwa moja halafu nchi nzima inahamia uwanjani kuilaki na kuiombea, nacheka sana

Nikikumbuka enzi zile ndege ilinunuliwa moja halafu nchi nzima inahamia uwanjani kuilaki na kuiombea, nacheka sana

Wapo wengi tu kaka.
Kama walikataa kwenda serikalini sawa lakini jina ulikuwa unalikuta tayari wamekuandika na umepata mkoa sehemu ya kufanya kazi bila wewe kuomba. Niamni ninacho sema mana ndivyo ilivyokuwa Wala hatukuwa tunaomba ila tulikuwa tunashtukia tumeshapangiwa tu. Ndo mana ajira Sasa hivi za ualimu au udaktari zikitoka wanaandika kwamba wataajiri kuanzia 2015 tuea meaning that wa chini ya hapo tayri wote walikuwa wanaajiruwa moja kwa moja hakukuwa na kuomba
 
Kwa kweli nchi hii imepita ujima sima katika miaka miatano iliyopita nadhani hata nchi za Afrika walikuwa wanatuona hamnazo kabisa.

Hebe we fikiria kidenge kimoja kinanuliwa tena mtumba halafu nchi nzima na mbaya zaidi hata viongozi wa dini wanapenda kuishagaa.

Jamani, hivi huyu mtu angekuwa mpaka sasa yupo si tungekuwa tumewehuka kabisa na maigizo na watu wangeshapotezwa wengi kwa kukosoa ujinga huo.
Tusirudie tena kuleta Rais mwenye roho ya kimaskini. Unaweza ukazaliwa maskini lakini ukawa na roho ya kitajiri.

Makuzi na malezi ya Magufuli yanaonekana ni mtu ambaye alikuwa anasongwa sana na umaskini as a result akawa anawachukia sana matajiri.

Mwaka 1980 J K Nyerere alinunua brand new Boeing 737 kama 2 hivi nisipokosea, lakini tuliziona zikiruka tu Wala hakukuwa na hayo mapokezi ya kishamba.
 
Kwa kweli nchi hii imepita ujima sima katika miaka miatano iliyopita nadhani hata nchi za Afrika walikuwa wanatuona hamnazo kabisa.

Hebe we fikiria kidenge kimoja kinanuliwa tena mtumba halafu nchi nzima na mbaya zaidi hata viongozi wa dini wanapenda kuishagaa.

Jamani, hivi huyu mtu angekuwa mpaka sasa yupo si tungekuwa tumewehuka kabisa na maigizo na watu wangeshapotezwa wengi kwa kukosoa ujinga huo.
Acha Kashfa hata Baba akinunua gari watoto wote wanaenda kuilaki
 
Kulikuwa na ufisadi mkubwa awamu ya tatu na ya nne, tafuta rekodi sahihi zitakueleza kwa kirefu.

Pesa ya kodi yetu kama ipo kwanini ununue ndege kwa mkopo?.
Ufisadi mkubwa umefanyika awamu ya tano kwa 1.kujenga Chato kuwa jiji.2.Kuiba uchaguzi wa 2019 na 2020.3.Kuweka Bungeni Wabunge 19 wasiokuwa na chama.
 
Tusirudie tena kuleta Rais mwenye roho ya kimaskini. Unaweza ukazaliwa maskini lakini ukawa na roho ya kitajiri.

Makuzi na malezi ya Magufuli yanaonekana ni mtu ambaye alikuwa anasongwa sana na umaskini as a result akawa anawachukia sana matajiri.

Mwaka 1980 J K Nyerere alinunua brand new Boeing 737 kama 2 hivi nisipokosea, lakini tuliziona zikiruka tu Wala hakukuwa na hayo mapokezi ya kishamba.
Wakumbushe hao watoto waliozaliwa kuanzia 1998 mpaka 2005 wanaona Magufuri kama mkombozi wa Tanzania kumbe ni mtu aliyetaka nchi iingie kwenye machafuko ili atawale milele.
 
Nonsense kama huna cha kuongea nyamaza Tu.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Tunasema ukweli siyo kwamba tunadharau baadhi ya Watanzania la hasha kwa mtu aliyeishudia Tanzania hii tangu awamu ya Kwanza hadi ya sita hawezi kuja na ngojera za kwamba mtu fulani kafanya vizuri kuliko marais wote.
 
bado kabakisha chawa na viroboto vyeka vimeamia kwa mama sasa
 
Kwa kweli nchi hii imepita ujima sima katika miaka miatano iliyopita nadhani hata nchi za Afrika walikuwa wanatuona hamnazo kabisa.

Hebe we fikiria kidenge kimoja kinanuliwa tena mtumba halafu nchi nzima na mbaya zaidi hata viongozi wa dini wanapenda kuishagaa.

Jamani, hivi huyu mtu angekuwa mpaka sasa yupo si tungekuwa tumewehuka kabisa na maigizo na watu wangeshapotezwa wengi kwa kukosoa ujinga huo.
Usiposhukuru kwa kidogo, kikubwa hakikufai.
Sasa hivi mmeshanunua ngapi?
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Bora enzi izo tulikuwa tunashangaa ndege,muda huu maisha yanatushangaa mahindi,dagaa hazishikiki,ukiwa na 10k kama umeshika 1000.
 
Kwa kweli nchi hii imepita ujima sima katika miaka miatano iliyopita nadhani hata nchi za Afrika walikuwa wanatuona hamnazo kabisa.

Hebe we fikiria kidenge kimoja kinanuliwa tena mtumba halafu nchi nzima na mbaya zaidi hata viongozi wa dini wanapenda kuishagaa.

Jamani, hivi huyu mtu angekuwa mpaka sasa yupo si tungekuwa tumewehuka kabisa na maigizo na watu wangeshapotezwa wengi kwa kukosoa ujinga huo.

Kile ndio kipindi ilikuwa ngumu kutofautisha uzalendo na ujinga. Kujivika ujinga ndio ilikuwa dalili ya uzalendo.
 
kuna maskofu ndiyo waliongoza misa kuziombea ndege...tumetoka mbali jamani watanzania...hiiiii

Halafu serekali ile ikawa inajifanya ina kiongozi mcha Mungu kwelikweli. Utasikia asalamu aleko, tumsifu yesu kristo, bwana asifiwe. Nikawa najiuliza kwani kusalimia sala za kidini ndio kumcha Mungu? Lakini kulikuwa na ukatilili mwingi wa wazi, dini ikawa inatumika kufunika uovu.
 
Imagine kuna mtu alizawadiwa ubunge kwa kuahidi kuwapeleka raia wake Birmingham Uingereza 🤣 🤣 🤣 🤣

Mwingine akatupiga marufuku kuingia Daslam kama hatujaoga! 🤣 🤣 🤣

Mwingine akatuambia ukiwa na cherehani tatu basi hicho tayari ni kiwanda! 🤣 🤣 🤣
 
Cheti fake ni wewe mwenye ubongo wa😁😁😁
Ukiwa na msongo wa mawazo wewe sio kila mtu anao

Katika watu ambao dhalimu alifanikiwa kuwabrainwash, ww ulikuwa mmoja wao.
 
Back
Top Bottom