OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Hii loan Board ni kilio cha siku nyingi na inajulikana.
Ninapochoshwa zaidi na hawa wanaojiita loan board ni kwamba imetengenezwa kwa watoto wa matajiri kuweza ila wale walengwa masikin na mayatima hawapewi
Na inauma zaid kuwa hata bungeni hawakomalii issues kama hiz kwa dhati,wanaharakati wako busy na wanasiasa kulumbana!!!!