Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Dogo ukiwa kijana ni lazima upige gambe, hiyo mishangazi itakuwahisha kwa sir GodDaah nashukuru Mungu kwa kuniepusha na dhoruba ya kunywa hivo vitu...
Japo kwa sasa kuna huyu shangzi mpya daah anapenda kunywa hatareee mpaka naona kabisa atanifundisha...
Nimeanza mdogo mdogo mara shisha mara viroboti. Naomba MUNGU nisije kuwa mlevi mazima..
Mkuu kuacha pombe ni wewe hakuna dawa yoyote ila ni kuandaa akili yako kama seriously unaacha we acha
Kama kupenda mishangazi nayo ni ulevi basi mniache nife tuu ππππππ
Vishu Mtata nae ana ulevi wa kuji snap akiwa na watoto wa 2k... Hii laana kaka haitokuacha salama
BRAZA CHOGO we ulevi wako nini ππππ
πππππ Mi sielewi hata kidogo ujueDogo ukiwa kijana ni lazima upige gambe, hiyo mishangazi itakuwahisha kwa sir God
Mpokee YesuWakuu kwema?
Kila nikilewa tu nataman wanawake! Najikuta mara nyingi najitubu UTI kali kila mara
Nadhan mnajua ukilewa mipira unasahau. Lengo la huu Uzi ni mwenye connection ya dawa ya kuacha pombe please naiomba.
Kabla hayajanikuta ya kunikuta.
Nawasilisha.
Mshangazi unakuongoza kwenye njia sahihi ila usinywe viroboti sasa vitakuua mapemaπππππ Mi sielewi hata kidogo ujue
Huyu shangz dorry huwa ananiambia nishtue kidogo sema naogopa ujueMshangazi unakuongoza kwenye njia sahihi ila usinywe viroboti sasa vitakuua mapema
Hanywi pombe kabisa yule msabatoUwe unaenda bar na mpenzi wako mlewe wote mkokotane kurudi nyumbani. Wakati huo unasubiri tiba.
Sawa mkuu nitalifanyia kaziKanuni tatu muhimu za pombe za kuzingatia sana
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Ukiweza kuzifuata hivi pombe itakupa faida nyingi sana
Siku ukipata gono ndio utafurahi zai
Weekend hii nakuja kibada hapo upige funda kadhaa za nyagi akili ichangamke, huyo mamdogo dory utamdinya hadi aombe mmaHuyu shangz dorry huwa ananiambia nishtue kidogo sema naogopa ujue