Messenger Studio
Member
- Sep 23, 2022
- 28
- 25
Katika vitu hutakiwi kufanya ni kurudisha mpira kwa kipa kirahisi. Anza sasa kutafuta njia ambayo itakusababisha usirudi nyumbani pindi utapomaliza chuo.Mimi n mwanafunzi wa chuo, npo mwaka wa mwisho. Hapa nilipo ninamawazo mengi kuhusu kipi ntafanya baada ya kumaliza chuo. Nasomea mambo ya Utaalamu wa Vifaa Tiba vya Hospitali. Wazazi wangu na ndugu zangu wana matumaini makubwa sana juu yangu hadi naogopa!!.
Mwenye ushauri wwte naomba anisaidie jmn!!!. Kwasababu sahz hadi naogopa kurudi nyumban baada ya kumaliza chuo.
na mm nipo mwaka wa mwisho yan nawaza sana nifanye nnMimi ni mwanafunzi wa chuo, nipo mwaka wa mwisho. Hapa nilipo ninamawazo mengi kuhusu kipi ntafanya baada ya kumaliza chuo. Nasomea mambo ya Utaalamu wa Vifaa Tiba vya Hospitali. Wazazi wangu na ndugu zangu wana matumaini makubwa sana juu yangu hadi naogopa!!
Mwenye ushauri wwte naomba anisaidie jmn!!!. Kwasababu sahz hadi naogopa kurudi nyumban baada ya kumaliza chuo.
Skia wewe tafuta mafundi uwe kibarua wao.Mimi ni mwanafunzi wa chuo, nipo mwaka wa mwisho. Hapa nilipo ninamawazo mengi kuhusu kipi ntafanya baada ya kumaliza chuo. Nasomea mambo ya Utaalamu wa Vifaa Tiba vya Hospitali. Wazazi wangu na ndugu zangu wana matumaini makubwa sana juu yangu hadi naogopa!!
Mwenye ushauri wwte naomba anisaidie jmn!!!. Kwasababu sahz hadi naogopa kurudi nyumban baada ya kumaliza chuo.
chuo gani upo?Mimi ni mwanafunzi wa chuo, nipo mwaka wa mwisho. Hapa nilipo ninamawazo mengi kuhusu kipi ntafanya baada ya kumaliza chuo. Nasomea mambo ya Utaalamu wa Vifaa Tiba vya Hospitali. Wazazi wangu na ndugu zangu wana matumaini makubwa sana juu yangu hadi naogopa!!
Mwenye ushauri wwte naomba anisaidie jmn!!!. Kwasababu sahz hadi naogopa kurudi nyumban baada ya kumaliza chuo.
Mbarari kukodi shamba la kulima mpunga hekari Moja ni laki Tano(500K)mnanikumbusha kipindi kileeee... ila uzuri home ni hapahapa dar. namaliza chuo miez minne mbele napata mchongo wa intern posho laki260 mwezi. Nimekomaa miez kadhaa sioni dira. nkaacha intern nkaingia kariakookama winga. Komaa weeee hola! kama utakuwa na kamtaji hata ka laki5 kimbilia hta mbarali shamba huko ukakomae na kilimo, usirud home
Nami mkuu. Dah sijui itakuwaje.na mm nipo mwaka wa mwisho yan nawaza sana nifanye nn
Tafuta hata sehemu ya kujitolea kwa muda tu kulingana na taaluma yako...Mimi ni mwanafunzi wa chuo, nipo mwaka wa mwisho. Hapa nilipo ninamawazo mengi kuhusu kipi ntafanya baada ya kumaliza chuo. Nasomea mambo ya Utaalamu wa Vifaa Tiba vya Hospitali. Wazazi wangu na ndugu zangu wana matumaini makubwa sana juu yangu hadi naogopa!!
Mwenye ushauri wwte naomba anisaidie jmn!!!. Kwasababu sahz hadi naogopa kurudi nyumban baada ya kumaliza chuo.
OlewaMimi ni mwanafunzi wa chuo, nipo mwaka wa mwisho. Hapa nilipo ninamawazo mengi kuhusu kipi ntafanya baada ya kumaliza chuo. Nasomea mambo ya Utaalamu wa Vifaa Tiba vya Hospitali. Wazazi wangu na ndugu zangu wana matumaini makubwa sana juu yangu hadi naogopa!!
Mwenye ushauri wwte naomba anisaidie jmn!!!. Kwasababu sahz hadi naogopa kurudi nyumban baada ya kumaliza chuo.
no future here... saidia fundi wanaishiaga kuwa bodabodaSkia wewe tafuta mafundi uwe kibarua wao.
Ukibahatika kukutana na mwenye nyumba mpe ABC yako
its fine.. anaweza kununua na kuuza mana mwanzo hauanzi na vitu vikubwaMbarari kukodi shamba la kulima mpunga hekari Moja ni laki Tano(500K)
hata hili lifanyie kazi... be active now! ukimaliza inawez kuwa start nzuriTafuta hata sehemu ya kujitolea kwa muda tu kulingana na taaluma yako...
.(ushauri tu huu ila sio lazima uufuate )
Mimi ni mwanafunzi wa chuo, nipo mwaka wa mwisho. Hapa nilipo ninamawazo mengi kuhusu kipi ntafanya baada ya kumaliza chuo. Nasomea mambo ya Utaalamu wa Vifaa Tiba vya Hospitali. Wazazi wangu na ndugu zangu wana matumaini makubwa sana juu yangu hadi naogopa!!
Mwenye ushauri wwte naomba anisaidie jmn!!!. Kwasababu sahz hadi naogopa kurudi nyumban baada ya kumaliza chuo.
ila laki5 ukiwa chuo hea ndogo sana mana unaclick batani zinatoka tu. ukimaliza chuo unaweza kata mwaka hujapata laki ya pamojaMbarari kukodi shamba la kulima mpunga hekari Moja ni laki Tano(500K)
Nazungumzia kilimo Cha mbarali gharama ni hiziila laki5 ukiwa chuo hea ndogo sana mana unaclick batani zinatoka tu. ukimaliza chuo unaweza kata mwaka hujapata laki ya pamoja