Tatizo ni kwamba, nikinunua umeme kisha nikaingiza Token, inaandika "error 77" na Token haziingii.
Kwa sasa ni zaidi ya wiki tatu naongea na watoa huduma wa ngazi mbalimbali wakiniahidi kuwa mafundi wa karibu watafika kutatua tatizo lakini hakuna kinachoendelea mpaka sasa.
Kila nikiwapigia simu wanachukua Namba ya mita na Namba ya simu lakini utekelezaji hakuna.
Shida ni nini? TANESCO
Kwa sasa ni zaidi ya wiki tatu naongea na watoa huduma wa ngazi mbalimbali wakiniahidi kuwa mafundi wa karibu watafika kutatua tatizo lakini hakuna kinachoendelea mpaka sasa.
Kila nikiwapigia simu wanachukua Namba ya mita na Namba ya simu lakini utekelezaji hakuna.
Shida ni nini? TANESCO