Nikinunua umeme kisha nikaingiza Token, inaandika "error 77 na Token haziingii

Nikinunua umeme kisha nikaingiza Token, inaandika "error 77 na Token haziingii

Huu utaratibu uko nchi gΓ ni? Ni kwa mita zipi? Mbona mimi umeme unit zikiisha naweka tuu bila kuhusisha jirani?
Kwenye zile mita za kutumia rimoti umeme ukiisha ukataka kuweka umeme kwenye mita kuna option mbili za kuweka umeme.
1. Kuchomeka rimoti kwenye socket ya umeme na kuingiza token(njia hii ni kama umeme haujaisha kabisa kwenye nyumba yako)
2. Kuweka betri kwenye rimoti ya mita na kuweka umeme. (Njia hii unatumia iwe umeme umeisha kabisa au bado upo)
Sasa watu wengi hii njia ya kutumia betri hawaizingatii sana maana TANESCO wanashauri betri zitumike pindi tu unapoweka umeme zisikae kwenye rimote zinaweza kuvuja na kuharibu rimoti. Kwa hiyo kuondoa huo usumbufu mtu anaona bora tu atumie njia ya kuweka rimoti kwenye socket ili kuingiza token.
Sasa tatizo linakuja umeme ukiisha kabisa huwezi kuingiza hadi uende kwa jirani umuombe uchomeke rimoti kwenye socket yake ili uingize token.
Ushauri wangu; kama umeme ukiisha kabisa tumia betri hata za rimoti ya TV unazitoa unaziweka kwenye rimoti ya umeme halafu ukishaingiza token unazirudisha zilipotoka kuliko kwenda kumsumbua jirani.
 
Halafu TANESCO, ondoeni basi ule utaratibu wenu wa kututaka kwenda nyumba za jirani kurejesha umeme iwapo tu units zitaisha zote. Mkumbuke kuna kujisahau!!

Sasa inakuwaje umeme umekata ndani ya nyumba yangu, nimenunua units!! Eti ili umeme urudi, natakiwa kwenda kutumia mita ya jirani!! Hivi ni kwa nini msiweke utaratibu wa kurejesha hiyo huduma huku wateja wenu wakiwa majumbani kwao? Kuna ulazima gani wa mimi kwenda kwa jirani? Na kwa nini mliweka utaratibu wa kidwanzi kama huu kupitia hizi mita zenu za LUKU? Kumbukeni zamani hakukuwepo na ujinga kama huu.

TANESCO, wakati fulani mjue mnatudhalilisha! Ondoeni hii kitu bhana.
Mkuu hizo mita za rimoti si zina option za kutumia betri? Kwanini usitumie hiyo option kuliko kwenda kwa jirani. Tena kwa vile ni tendo la mara moja unatoa betri kwenye rimoti ya TV unaziweka kwenye rimoti ya mita ya LUKU unaweka Token zikiingia unazirudisha kwenye rimoti ya TV. Au option nyingine usisubiri umeme uishe kabisa. Huo ndio ushauri wangu .
 
Kwenye zile mita za kutumia rimoti umeme ukiisha ukataka kuweka umeme kwenye mita kuna option mbili za kuweka umeme.
1. Kuchomeka rimoti kwenye socket ya umeme na kuingiza token(njia hii ni kama umeme haujaisha kabisa kwenye nyumba yako)
2. Kuweka betri kwenye rimoti ya mita na kuweka umeme. (Njia hii unatumia iwe umeme umeisha kabisa au bado upo)
Sasa watu wengi hii njia ya kutumia betri hawaizingatii sana maana TANESCO wanashauri betri zitumike pindi tu unapoweka umeme zisikae kwenye rimote zinaweza kuvuja na kuharibu rimoti. Kwa hiyo kuondoa huo usumbufu mtu anaona bora tu atumie njia ya kuweka rimoti kwenye socket ili kuingiza token.
Sasa tatizo linakuja umeme ukiisha kabisa huwezi kuingiza hadi uende kwa jirani umuombe uchomeke rimoti kwenye socket yake ili uingize token.
Ushauri wangu; kama umeme ukiisha kabisa tumia betri hata za rimoti ya TV unazitoa unaziweka kwenye rimoti ya umeme halafu ukishaingiza token unazirudisha zilipotoka kuliko kwenda kumsumbua jirani.
Solution ni powerbank tu hapo sijawahi kupata shida kuingiza umeme
 
Tatizo ni kwamba, nikinunua umeme kisha nikaingiza Token, inaandika "error 77" na Token haziingii.

Kwa sasa ni zaidi ya wiki tatu naongea na watoa huduma wa ngazi mbalimbali wakiniahidi kuwa mafundi wa karibu watafika kutatua tatizo lakini hakuna kinachoendelea mpaka sasa.

Kila nikiwapigia simu wanachukua Namba ya mita na Namba ya simu lakini utekelezaji hakuna.

Shida ni nini? TANESCO
Tanesco wanasemaje?
 
Tatizo ni kwamba, nikinunua umeme kisha nikaingiza Token, inaandika "error 77" na Token haziingii.

Kwa sasa ni zaidi ya wiki tatu naongea na watoa huduma wa ngazi mbalimbali wakiniahidi kuwa mafundi wa karibu watafika kutatua tatizo lakini hakuna kinachoendelea mpaka sasa.

Kila nikiwapigia simu wanachukua Namba ya mita na Namba ya simu lakini utekelezaji hakuna.

Shida ni nini? TANESCO
Bonyeza zero then namba za Mita tena bonyeza zero ukifuatia namba za Mita afu malizia ok.itakubali
 
Back
Top Bottom