Nikioa sitashika simu ya mke wangu.

Nikioa sitashika simu ya mke wangu.

Haya ni mawazo yangu tu, sijui kwa wengine. Labda nikiishiwa mda was maongezi, napo nitapiga simu tu na si mengine
Tupe na sababu za kwanini usiishike,
Nb: umesema ni mawazo yako, bado hujafikia Maamuzi.
 
Huko ni kuogopa ukweli ambao ungekupa maamuzi ya kuwa huru.
Hayo mambo ya kuogopa mwisho wa siku unakuta maisha muliyoyaandaa muda mrefu yameshaharibika bora ungejua mapema wanawake wengi wanatamaa,akiwa na wewe anaona kama angempata zaidi yako kwa maneno tu ya msg na fikra chafu.
Bora ushike kabla hujapata ngoma au kulea watoto wa mwenzio.
 
me nashika simu ya mtu yoyote wa karibu yng akiiacha lazima niingie inbox kuna cku mshikaji wng aliacha simu yke karibu yng nikaingia inbox na kukuta sms za demu wng flani wanasimuliana walivyofaidiana toka siku iyo nimzidisha kasi ya kuchunguza cmu za watu wanaonizunguka na nimeweza kugundua mengi tu
 
Maradhi yakisha bisha hodi mtakumbushana tu kumeza vidonge.

Kinga ni bora kuliko tiba ndg!
 
Sina, na sihitaji girlfriend kwa sasa
Kumbe ni hanithi ndiyo maana umekuja kuandika upuuzi hapa.
Mtu huna mwanamke utazijuaje principles za kuishi na wanawake hadi uje utoe somo hapa,hujawahi hatakuwa na mwanamke wala huna mpango we unawezaje kuwa mzima,lonjo we.
Kama umekuja kujifunza sema usaidiwe.
 
Utaoaje bila kuanza urafiki? Girl friend sio lazima umtafune .Vipi mnyama?
Sijapata rafiki wa kike "nimejifunza kuwa makini kabla ya kuchagua rafiki" naona bora nikae alone kuliko kua na rafiki nisie endana nae. @ show me your friend and I will tell you who you are.
 
basi sawa..
wengi walinena kama wewe wakaja geuka mbeleni.
 
Ushike usishike akiamua kukupeleka roho juu hautamzuia
 
Sijapata rafiki wa kike "nimejifunza kuwa makini kabla ya kuchagua rafiki" naona bora nikae alone kuliko kua na rafiki nisie endana nae. @ show me your friend and I will tell you who you are.
Nini kimekuleta kutaka ushauri.jamaa unazingua unajua
 
Huko ni kuogopa ukweli ambao ungekupa maamuzi ya kuwa huru.
Hayo mambo ya kuogopa mwisho wa siku unakuta maisha muliyoyaandaa muda mrefu yameshaharibika bora ungejua mapema wanawake wengi wanatamaa,akiwa na wewe anaona kama angempata zaidi yako kwa maneno tu ya msg na fikra chafu.
Bora ushike kabla hujapata ngoma au kulea watoto wa mwenzio.
Haswaaaa. Kilichotawala hapa ni hofu , hofu ya kuujuu ukweli. Hapa watu wanaishi furaha ya uwongo na matumaini ya uwongo.
bora kuujua ukweli
 
Inategemeana na uwezo wako wa ku handle utakochokutana nacho kwenye simu. Wengine tuna uwezo mkubwa kabisa wa kuvumilia mambo, so ishu ya kupekua sim ni suala la kawaida.

Tena simu nimemnunulia mm mwenyewe alaf niogope kuishika. Napekua mpaka ndan , hata yeye anajua kuwa mm mpekuzi na siachi.
 
We jichimbie kaburi mkuu, huwa wakiwa na michepuko hutoa ruksa ya kuchat maana hawana hofu ya kupekuliwa simu zao.
 
Haya ni mawazo yangu tu, sijui kwa wengine. Labda nikiishiwa muda wa maongezi, napo nitapiga simu tu na si mengine

Utakua hujaoa bali umeolewa,
Ishara kamili umeshaiona humu %99 ya Mademu wamesapoti hilo wazo lako[emoji1321]
 
Back
Top Bottom