Nikiomba tena ajira niiteni mbwa nimekaa paleee

Nikiomba tena ajira niiteni mbwa nimekaa paleee

More Chances

Senior Member
Joined
Jun 24, 2022
Posts
151
Reaction score
344
Nimekosa tena ajira ya ualimu kipindi ambacho naiihitaji mno, Pdf zima limejaa certificate na diploma sisi bachelor sjui tukale wapi?

Kungekuwa kuna namna ya kuibadilisha degree kuwa certificate ningefanya hivo ili mradi nizame ajirani.

Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.

Naota ndoto hazina rangi ngoja niamke nizipake.
 
Nunua Mirunda na mabati chakavu gonga banda hapo mtaani mtafute dingilai mwepesi akukope eneo weka banda hapo nenda kwa mafundi geti kaombe rangi ilobaki piga chapa kibao TUITION TUITION AU LYKIZO TIME TUITION TUITION in 6 months period utakuja hapa unaimba mapambio
 
Nimekosa tena ajira ya ualimu kipindi ambacho naiihitaji mno, Pdf zima limejaa certificate na diploma sisi bachelor sjui tukale wapi?

Kungekuwa kuna namna ya kuibadilisha degree kuwa certificate ningefanya hivo ili mradi nizame ajirani.

Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.

Naota ndoto hazina rangi ngoja niamke nizipake.
Mwaka gan umemaliza mkuu?
 
Nunua Mirunda na mabati chakavu gonga banda hapo mtaani mtafute dingilai mwepesi akukope eneo weka banda hapo nenda kwa mafundi geti kaombe rangi ilobaki piga chapa kibao TUITION TUITION AU LYKIZO TIME TUITION TUITION in 6 months period utakuja hapa unaimba mapambio
Unapata wapi hao wanafunzi wakati ma shuleni wanaachiwa saa 11 na bado wanaitwa tena weekend na likizo
 
Back
Top Bottom