Nikiomba tena ajira niiteni mbwa nimekaa paleee

Nikiomba tena ajira niiteni mbwa nimekaa paleee

Mkuu sasa hivi soko la ajira ni gumu na tatizo la mliochagua kusomea ualimu wengi mlifuata wepesi wa mikopo na ajira. Mkikosa ndio hivyo mnakuwa frustrated

kaka huko mtaani kapambane tu ili uishi ila usijikatie tamaa kama ni kitu unachokipenda

kila mtu ana muda wake, wengine hawakai mtaani sana na wengine ndio hadi usote kama wewe, sasa trials chache ndio ujikatie tamaa.
 
Una moyo sana. Niliomba mara moja sijui ni 2016 sikumbuki vizuri. Sijawahi omba tena
Kama darasa la 7 na 4 wanaishi vizuri. Sisi wenye elimu tutashindwa kuishi?
Nimekosa tena ajira ya ualimu kipindi ambacho naiihitaji mno, Pdf zima limejaa certificate na diploma sisi bachelor sjui tukale wapi?

Kungekuwa kuna namna ya kuibadilisha degree kuwa certificate ningefanya hivo ili mradi nizame ajirani.

Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.

Naota ndoto hazina rangi ngoja niamke nizipake.
 
Nimekosa tena ajira ya ualimu kipindi ambacho naiihitaji mno, Pdf zima limejaa certificate na diploma sisi bachelor sjui tukale wapi?

Kungekuwa kuna namna ya kuibadilisha degree kuwa certificate ningefanya hivo ili mradi nizame ajirani.

Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.

Naota ndoto hazina rangi ngoja niamke nizipake.
Kila la kheri mkuu pambana
 
Nimekosa tena ajira ya ualimu kipindi ambacho naiihitaji mno, Pdf zima limejaa certificate na diploma sisi bachelor sjui tukale wapi?

Kungekuwa kuna namna ya kuibadilisha degree kuwa certificate ningefanya hivo ili mradi nizame ajirani.

Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.

Naota ndoto hazina rangi ngoja niamke nizipake.
Tatizo lako unataka serikali ndio ikuajiri, private school bado zinahitaji walimu, hadi wasiokuwa walimu kitaaluma wanafundisha private, wewe unaferi wapi?

Mimi nina ndugu yangu ni form six lakini ametoka familia ya kielimu anafundisha Biology kama yeye ndio ameitunga, jamaa kila shule anayokwenda anapewa uhead Master na darasani anafundisha na hajawahi kukanyaga sehemu inaitwa chuo kikuu, hana Degree wala Diploma.

Kuna shida sehemu kwenu vijana wa sasa hivi.
 
Nimekosa tena ajira ya ualimu kipindi ambacho naiihitaji mno, Pdf zima limejaa certificate na diploma sisi bachelor sjui tukale wapi?

Kungekuwa kuna namna ya kuibadilisha degree kuwa certificate ningefanya hivo ili mradi nizame ajirani.

Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.

Naota ndoto hazina rangi ngoja niamke nizipake.
Nakuambia ndugu yangu pambana, hutakuja kuyajutia maamuzi haya ya kutoomba ajira kamwe!
Mwenyezi Mungu abariki kazi za mikono yako!
 
Tatizo lako unataka serikali ndio ikuajiri, private school bado zinahitaji walimu, hadi wasiokuwa walimu kitaaluma wanafundisha private, wewe unaferi wapi?

Mimi nina ndugu yangu ni form six lakini ametoka familia ya kielimu anafundisha Biology kama yeye ndio ameitunga, jamaa kila shule anayokwenda anapewa uhead Master na darasani anafundisha na hajawahi kukanyaga sehemu inaitwa chuo kikuu, hana Degree wala Diploma.

Kuna shida sehemu kwenu vijana wa sasa hivi.
Unazijua private school wewe? Unajua wanavolipa? By the way mm nilikuwa naiongelea ajira ya serikali , wala sjalalamikia private kwa sababu nazijua in and out
Kufanya private ni bora tu kuwahi kwenda kujiajiri maana private nyingi wanakutumia ukishachoka wanakuacha vilevile unaenda tena kuanza moja,
 
Back
Top Bottom