Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kuna rizki iko mungu kakuandalia Kama bado uko hai basi tumaini lipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmiinKuna rizki iko mungu kakuandalia Kama bado uko hai basi tumaini lipo
Crap….Mstari wa mbele kusoma mapovu yanavyomwagika.
HahahaRudi mtaani achana na hao walamba asali
Too early to give up!.2018
Mwanangu inauma mno ukiangalia now mishahara ndo inaongezwa afu na wewe vigezo unavyo ila tu nafasi ndo haipatikaniDaaaa Pale tumaini linapokufa. i feel it.
Kutegemea ajira za Serikali ni mateso sana
it's pain bro, i understand.Mwanangu inauma mno ukiangalia now mishahara ndo inaongezwa afu na wewe vigezo unavyo ila tu nafasi ndo haipatikani
Sjui sku moja niende zangu mtumba dodoma
Nikalie hapo ofisini mpk waniajiri
Amin broit's pain bro, i understand.
Tuombe Mungu atupe plan B za maisha.
Nimekosa tena ajira ya ualimu kipindi ambacho naiihitaji mno, Pdf zima limejaa certificate na diploma sisi bachelor sjui tukale wapi?
Kungekuwa kuna namna ya kuibadilisha degree kuwa certificate ningefanya hivo ili mradi nizame ajirani.
Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.
Naota ndoto hazina rangi ngoja niamke nizipake.
Kila la kheri mkuu pambanaNimekosa tena ajira ya ualimu kipindi ambacho naiihitaji mno, Pdf zima limejaa certificate na diploma sisi bachelor sjui tukale wapi?
Kungekuwa kuna namna ya kuibadilisha degree kuwa certificate ningefanya hivo ili mradi nizame ajirani.
Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.
Naota ndoto hazina rangi ngoja niamke nizipake.
FifoFirst in first out ,km umemaliza chuo 2021 au 2020 ujue kuna watu wapo mtaani tangu 1998 hakuna ajira ,itafika zamu yako utapata
Tatizo lako unataka serikali ndio ikuajiri, private school bado zinahitaji walimu, hadi wasiokuwa walimu kitaaluma wanafundisha private, wewe unaferi wapi?Nimekosa tena ajira ya ualimu kipindi ambacho naiihitaji mno, Pdf zima limejaa certificate na diploma sisi bachelor sjui tukale wapi?
Kungekuwa kuna namna ya kuibadilisha degree kuwa certificate ningefanya hivo ili mradi nizame ajirani.
Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.
Naota ndoto hazina rangi ngoja niamke nizipake.
Ukienda kule watakusindikiza na virungu, hawana jema hawa wakiwa huko.Mwanangu inauma mno ukiangalia now mishahara ndo inaongezwa afu na wewe vigezo unavyo ila tu nafasi ndo haipatikani
Sjui sku moja niende zangu mtumba dodoma
Nikalie hapo ofisini mpk waniajiri
Nakuambia ndugu yangu pambana, hutakuja kuyajutia maamuzi haya ya kutoomba ajira kamwe!Nimekosa tena ajira ya ualimu kipindi ambacho naiihitaji mno, Pdf zima limejaa certificate na diploma sisi bachelor sjui tukale wapi?
Kungekuwa kuna namna ya kuibadilisha degree kuwa certificate ningefanya hivo ili mradi nizame ajirani.
Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.
Naota ndoto hazina rangi ngoja niamke nizipake.
Unazijua private school wewe? Unajua wanavolipa? By the way mm nilikuwa naiongelea ajira ya serikali , wala sjalalamikia private kwa sababu nazijua in and outTatizo lako unataka serikali ndio ikuajiri, private school bado zinahitaji walimu, hadi wasiokuwa walimu kitaaluma wanafundisha private, wewe unaferi wapi?
Mimi nina ndugu yangu ni form six lakini ametoka familia ya kielimu anafundisha Biology kama yeye ndio ameitunga, jamaa kila shule anayokwenda anapewa uhead Master na darasani anafundisha na hajawahi kukanyaga sehemu inaitwa chuo kikuu, hana Degree wala Diploma.
Kuna shida sehemu kwenu vijana wa sasa hivi.
Amiin nduguNakuambia ndugu yangu pambana, hutakuja kuyajutia maamuzi haya ya kutoomba ajira kamwe!
Mwenyezi Mungu abariki kazi za mikono yako!