Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jilipue, miaka 8 iliyopita kuna dogo mmoja alikuwa anashona viatu kitaa, chap akawa ni saidia fundi, mpaka muda huu ana kampuni yake ya ujenzi, anaitwa shirimaujenzi huko insta na anapasua vibaya, hizi elimu za darasani n.k siyo za kila mtu na inaweza isitokee kama ilivyosomea, angalia fursa ilipo jipe muda wa kujifunza kisha fanya,Ngoja nijiripue kitaa ndugu
Kwahiyo wale wanaofanyakazi private school ni mbwa?Unazijua private school wewe? Unajua wanavolipa? By the way mm nilikuwa naiongelea ajira ya serikali , wala sjalalamikia private kwa sababu nazijua in and out
Kufanya private ni bora tu kuwahi kwenda kujiajiri maana private nyingi wanakutumia ukishachoka wanakuacha vilevile unaenda tena kuanza moja,
Punguza hasira brother, wala sio swala la IQ ila nmeshakupa sababu kwamba , private nyingi maslah yao ni duni mfano unakuta mwalimu analipwa 250 au 300k nayo halipwi kwa wakati, na hapo wanaweza kumtumia kwa 5 years kwa mshahara huohuo na siku wakiamua wanampiga chini , huyu mwalimu anaanza kuhangaika tena jinsi ya kuishi.Kwahiyo wale wanaofanyakazi private school ni mbwa?
Ukiwa private school unajishikiza unapoteza haki ya kuomba ajiranya serikali?
No Wonder elimu ya Tanzania inazidi kudidimia kama walimu wenyewe ndip mna IQ ndogo kiasi hiki, sijui hao watoto wetu mtawasaidia vipi kuwa na IQ kubwa?
Acheni Wakenya waje kufundisha private school watoto wetu wajuwe kingereza si mbaya, nyinyi subirini ajira za serikali.
Yule Mwijaku ana Masters, amejitwist kwenye uchawa kunamlipa vizuri tu.Punguza hasira brother, wala sio swala la IQ ila nmeshakupa sababu kwamba , private nyingi maslah yao ni duni mfano unakuta mwalimu analipwa 250 au 300k nayo halipwi kwa wakati, na hapo wanaweza kumtumia kwa 5 years kwa mshahara huohuo na siku wakiamua wanampiga chini , huyu mwalimu anaanza kuhangaika tena jinsi ya kuishi.
Private chache sana ndo wanalipa vzuri nazo ni za kubahatisha.
So kuliko kwenda kulipwa 250k ya kuajiriwa ni bora kwenda kuitafuta mwenyewe
Mimi kuna mwalimu jirani aliwahi kunihadithia mambo ya private schools jinsi wanavyowatumia walimu na yeye ameacha anadai pesa zake shule nyingi tu za private.Punguza hasira brother, wala sio swala la IQ ila nmeshakupa sababu kwamba , private nyingi maslah yao ni duni mfano unakuta mwalimu analipwa 250 au 300k nayo halipwi kwa wakati...
Private ni miyeyusho mwanangu yani unakuwa tu kama unajitolea,Mimi kuna mwalimu jirani aliwahi kunihadithia mambo ya private schools jinsi wanavyowatumia walimu na yeye ameacha anadai pesa zake shule nyingi tu za private.
Wana tabia mbaya sana wale watu.Mimi kuna mwalimu jirani aliwahi kunihadithia mambo ya private schools jinsi wanavyowatumia walimu na yeye ameacha anadai pesa zake shule nyingi tu za private.