Nikiona ajali hii, mengi najifunza

Watu wameikojolea na hawajafanywa chochote zaidi ya waislam kuandamana
 
Kwa wale Watu ambao Wana uelewa wa kutosha kuhusu 'maisha ya Urusi' nafikiri watakuwa tayari wanajua Nini hasa kilijiri kwenye tukio Hilo ambalo tunaambiwa kuwa ni 'ajali ya barabarani.'

Kwa kifupi ni kwamba nchini Urusi Kuna 'ajali nyingi sana' za Watu hususani Wageni kutoka nje ya Taifa hilo la Urusi kupata 'ajali za kudondoka kwenye 'ngazi za kupanda ghorofani' na kisha wahanga kufariki dunia. Nafikiri nimeeleweka vizuri hapa.
 
Watoto wanaona ajali kama funny so hawashtuki wala kukurupuka kujiokoa utulivu wao unawasave,pia wanakuwa wana accopy space ndogo so wanachance kubwa ya kupona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…