Nikiona kijana wa Kitanzania anapata taabu nafurahi sana

Nikiona kijana wa Kitanzania anapata taabu nafurahi sana

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!

Najua mtasema nina roho mbaya, mara roho ya kichawi.
Hapana. Niko fiti, nina upendo wote wa Kimungu.
Kwanini nifurahi ninapoona kijana wa Kitanzania msomi kwa mjinga wakipata taabu katika maisha?
•Kwasababu vijana wa Kitanzania ni much know, hawashauriki. Unamweleza pita hapa pita kule utokee pale, atakuitikia baada ya muda anapita njia yake.
•Kijana wa Kitanzania ni mbinafsi, yeye akipata ugali hawazi kuhusu hatma ya Watoto wa wengine hatma yao iko wapi.
Wengi wanajiingiza kwenye siasa kwasababu ya njaa zao za muda mfupi. Hawawazi hatma ya taifa lao.
• Kijana wa Kitanzania ni mnafiki, anayesababisha ugumu wa maisha ndiye watamuunga mkono na kumsifia ili tu wapate tonge la siku moja au mbili.
Leo hii kijana wa Kitanzania ana likadi la chama mfukoni akitega viajira vya wiki moja vya sensa na uchaguzi.
Sasa mtu kama huyu utamuhurimiaje?
Ataseke tu, hakuna namna.
Akileta barua ya kazi nikiipokea Mimi nitamwoji kama ana likadi tu naichana pindi tu akigeuza kichogo.
Zamani nimewapiga sana kampani wapate ajira na mishe zingine ila sasa nimejua rangi zao halisi .
Wateseke tu hakuna namna, labda katika wingi wa mateso yao watapata akili
 


We mwenyewe mlinzi hizo connection utampa nani?
 


We mwenyewe mlinzi hizo connection utampa nani?
Pesa ninayolipwa sasa kwa ulinzi huu nakupita wewe wa TGTS E.
Na sidhani kama una check no.
Pia nina degree ya Human resources.
Kwahiyo Mimi siteseki.
Mlinzi kiongozi Mwandamizi.
Posho yangu tu inakuweka mjini.
 
Wewe itakua ndio yule Mzee kule Mkoa X Wilaya Y yaan Mzee Mchana kutwa umekaa karibu na mianzi, usiku umeingia kiza kinene Mzee upo kwenye mianzi eti unakata mianzi gizani kwani Mchana si ulikua hapo hapo Mzee punguza kuroga
 
Pesa ninayolipwa sasa kwa ulinzi huu nakupita wewe wa TGTS E.
Na sidhani kama una check no.
Pia nina degree ya Human resources.
Kwahiyo Mimi siteseki.
Kama bado unawaza kuajiriwa we bado sana, anyway nilijua tu mtu mwenye roho ya kuwaombea wenzake vibaya hawezi kua kafanikiwa, fungua roho mkuu baraka zitakuja, cheers!!
 
Hello!
Najua mtasema nina roho mbaya, mara roho ya kichawi.
Hapana. Niko fiti, nina upendo wote wa Kimungu.
Kwanini nifurahi ninapoona kijana wa Kitanzania msomi kwa mjinga wakipata taabu katika maisha?
•Kwasababu vijana wa Kitanzania ni much know, hawashauriki. Unamweleza pita hapa pita kule utokee pale, atakuitikia baada ya muda anapita njia yake.
•Kijana wa Kitanzania ni mbinafsi, yeye akipata ugali hawazi kuhusu hatma ya Watoto wa wengine hatma yao iko wapi.
Wengi wanajiingiza kwenye siasa kwasababu ya njaa zao za muda mfupi. Hawawazi hatma ya taifa lao.
• Kijana wa Kitanzania ni mnafiki, anayesababisha ugumu wa maisha ndiye watamuunga mkono na kumsifia ili tu wapate tonge la siku moja au mbili.
Leo hii kijana wa Kitanzania ana likadi la chama mfukoni akitega viajira vya wiki moja vya sensa na uchaguzi.
Sasa mtu kama huyu utamuhurimiaje?
Ataseke tu, hakuna namna.
Akileta barua ya kazi nikiipokea Mimi nitamwoji kama ana likadi tu naichana pindi tu akigeuza kichogo.
Zamani nimewapiga sana kampani wapate ajira na mishe zingine ila sasa nimejua rangi zao halisi .
Wateseke tu hakuna namna, labda katika wingi wa mateso yao watapata akili
Uko sahihi sana japokuwa watakuja kukupinga wengi hapa.
Tusipende kufuga au kuendekeza ujinga.
 
Back
Top Bottom