Nikiona kijana wa Kitanzania anapata taabu nafurahi sana

Nikiona kijana wa Kitanzania anapata taabu nafurahi sana

Sasa kwan wote tutafanikiwa kwa njia moja?.
Mwngne biashara mwngne jicho la tatu😃
 
Korokoroni ni kirokoroni tu wacha mbwembwe JF kuna kitengo kabisa cha kufukuwa makaburi.
Yes. Kwani nimepinga.
Mimi nimekataa kufanyiwa mabadiliko ya kimuundo ya kiutumishi. I can be driver, HR officer etc.
Kama nalipwa vizuri, napata time ya kufanya mambo mengine kuna shida?
 
Hello!
Najua mtasema nina roho mbaya, mara roho ya kichawi.
Hapana. Niko fiti, nina upendo wote wa Kimungu.
Kwanini nifurahi ninapoona kijana wa Kitanzania msomi kwa mjinga wakipata taabu katika maisha?
•Kwasababu vijana wa Kitanzania ni much know, hawashauriki. Unamweleza pita hapa pita kule utokee pale, atakuitikia baada ya muda anapita njia yake.
•Kijana wa Kitanzania ni mbinafsi, yeye akipata ugali hawazi kuhusu hatma ya Watoto wa wengine hatma yao iko wapi.
Wengi wanajiingiza kwenye siasa kwasababu ya njaa zao za muda mfupi. Hawawazi hatma ya taifa lao.
• Kijana wa Kitanzania ni mnafiki, anayesababisha ugumu wa maisha ndiye watamuunga mkono na kumsifia ili tu wapate tonge la siku moja au mbili.
Leo hii kijana wa Kitanzania ana likadi la chama mfukoni akitega viajira vya wiki moja vya sensa na uchaguzi.
Sasa mtu kama huyu utamuhurimiaje?
Ataseke tu, hakuna namna.
Akileta barua ya kazi nikiipokea Mimi nitamwoji kama ana likadi tu naichana pindi tu akigeuza kichogo.
Zamani nimewapiga sana kampani wapate ajira na mishe zingine ila sasa nimejua rangi zao halisi .
Wateseke tu hakuna namna, labda katika wingi wa mateso yao watapata akili
vipi siku hizi unaajiri vijana wa afghanistan au huajiri kabisa?
 
Yes. Kwani nimepinga.
Mimi nimekataa kufanyiwa mabadiliko ya kimuundo ya kiutumishi. I can be driver, HR officer etc.
Kama nalipwa vizuri, napata time ya kufanya mambo mengine kuna shida?
Security gani anayelipwa vizuri? Unafahamu malindo wanailipa kampuni kwa kichwa? Kampuni inalipwa laki sita kwa kichwa wewe utalipwa shingapi kama siyo laki mbili?
 
Security gani anayelipwa vizuri? Unafahamu malindo wanailipa kampuni kwa kichwa? Kampuni inalipwa laki sita kwa kichwa wewe utalipwa shingapi kama siyo laki mbili?
Sifanyi kazi kwenye kampuni ya Ulinzi.
Niko serikalini. Ni mlinzi mwenye sifa zangu.
Kuna mahali walinzi tunalipwa pesa ndefu ambayo Eng. wa Karatu DC haipati labda aibe kwenye makadirio ya miradi.
Nimewahi kuwa mlinzi wa mgodi Acacia walikuwa wananilipa 700k nikaingia TANAPA kama ranger mshahara ulikuwa mdogo compared na acacia nako nikaacha. Niliko sasa si haba .
 


We mwenyewe mlinzi hizo connection utampa nani?
Oyaaaaa aiseee watu wanajua kufukua makaburi šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Pesa ninayolipwa sasa kwa ulinzi huu nakupita wewe wa TGTS E.
Na sidhani kama una check no.
Pia nina degree ya Human resources.
Kwahiyo Mimi siteseki.
Mlinzi kiongozi Mwandamizi.
Posho yangu tu inakuweka mjini.
Mkuu wewe una degree ya Human Resources lakini hujui utofauti Kati ya Check na Cheque?

Napata mashaka sana.....
 
Sifanyi kazi kwenye kampuni ya Ulinzi.
Niko serikalini. Ni mlinzi mwenye sifa zangu.
Kuna mahali walinzi tunalipwa pesa ndefu ambayo Eng. wa Karatu DC haipati labda aibe kwenye makadirio ya miradi.
Nimewahi kuwa mlinzi wa mgodi Acacia walikuwa wananilipa 700k nikaingia TANAPA kama ranger mshahara ulikuwa mdogo compared na acacia nako nikaacha. Niliko sasa si haba .
Hakuna mahali kwenye ajira za serikali mlinzi analipwa pesa ndefu kama unavyosema.

Labda ni vile tu mtu yoyote anaweza kuandika chochote kwenye fake id
 
Sifanyi kazi kwenye kampuni ya Ulinzi.
Niko serikalini. Ni mlinzi mwenye sifa zangu.
Kuna mahali walinzi tunalipwa pesa ndefu ambayo Eng. wa Karatu DC haipati labda aibe kwenye makadirio ya miradi.
Nimewahi kuwa mlinzi wa mgodi Acacia walikuwa wananilipa 700k nikaingia TANAPA kama ranger mshahara ulikuwa mdogo compared na acacia nako nikaacha. Niliko sasa si haba .
Kwamba ulipo una pata pesa nyingi kushinda Eng. wa karatu DC !
Aya bana
 
Sifanyi kazi kwenye kampuni ya Ulinzi.
Niko serikalini. Ni mlinzi mwenye sifa zangu.
Kuna mahali walinzi tunalipwa pesa ndefu ambayo Eng. wa Karatu DC haipati labda aibe kwenye makadirio ya miradi.
Nimewahi kuwa mlinzi wa mgodi Acacia walikuwa wananilipa 700k nikaingia TANAPA kama ranger mshahara ulikuwa mdogo compared na acacia nako nikaacha. Niliko sasa si haba .
Unaendelea kujidanganya mwenyewe, serikalini pia wana hire kampuni za security isipokuwa airport tu je unajuwa security wa airport wanatoka wapi?

Yani wewe unajiaminisha unaweza kudanganya watu wa JF? Jitafakari.
 


We mwenyewe mlinzi hizo connection utampa nani?
Hahahaha..umepiga kwenye mshono
 
Hello!
View attachment 3071795
Najua mtasema nina roho mbaya, mara roho ya kichawi.
Hapana. Niko fiti, nina upendo wote wa Kimungu.
Kwanini nifurahi ninapoona kijana wa Kitanzania msomi kwa mjinga wakipata taabu katika maisha?
•Kwasababu vijana wa Kitanzania ni much know, hawashauriki. Unamweleza pita hapa pita kule utokee pale, atakuitikia baada ya muda anapita njia yake.
•Kijana wa Kitanzania ni mbinafsi, yeye akipata ugali hawazi kuhusu hatma ya Watoto wa wengine hatma yao iko wapi.
Wengi wanajiingiza kwenye siasa kwasababu ya njaa zao za muda mfupi. Hawawazi hatma ya taifa lao.
• Kijana wa Kitanzania ni mnafiki, anayesababisha ugumu wa maisha ndiye watamuunga mkono na kumsifia ili tu wapate tonge la siku moja au mbili.
Leo hii kijana wa Kitanzania ana likadi la chama mfukoni akitega viajira vya wiki moja vya sensa na uchaguzi.
Sasa mtu kama huyu utamuhurimiaje?
Ataseke tu, hakuna namna.
Akileta barua ya kazi nikiipokea Mimi nitamwoji kama ana likadi tu naichana pindi tu akigeuza kichogo.
Zamani nimewapiga sana kampani wapate ajira na mishe zingine ila sasa nimejua rangi zao halisi .
Wateseke tu hakuna namna, labda katika wingi wa mateso yao watapata akili
Hahaa....kweli umeeleweka.

Kuna watu nawajua wana namba za mawaziri huu mwaka wa tano sasa bado wana matumaini. Na uniform wanapiga hawana aibu.
 
Unaendelea kujidanganya mwenyewe, serikalini pia wana hire kampuni za security isipokuwa airport tu je unajuwa security wa airport wanatoka wapi?

Yani wewe unajiaminisha unaweza kudanganya watu wa JF? Jitafakari.
Taasisi nyingi za umma sasa zinahire SUMA JKT ila bado kuna walinzi wasimamizi wa taasisi husika wanaoingia kwenye management na kusimamia baadhi ya mambo.
Nikutumie picha ya I'd?
 
Taasisi nyingi za umma sasa zinahire SUMA JKT ila bado kuna walinzi wasimamizi wa taasisi husika wanaoingia kwenye management na kusimamia baadhi ya mambo.
Nikutumie picha ya I'd?
Hayo mambo ya Suma JKT yalikuwa mambo ya Magufuli, zama za Magufuli zimekwisha, huu ni utawala wa Kizimkazi Chifu Hangaya.

Hujui mimi ni nani ndio maana nakushangaa sana unapretend na kufake maisha.
 
Taasisi nyingi za umma sasa zinahire SUMA JKT ila bado kuna walinzi wasimamizi wa taasisi husika wanaoingia kwenye management na kusimamia baadhi ya mambo.
Nikutumie picha ya I'd?
Mimi nakubaliana na wewe. Si ndio huwa wanaitwa maafisa usalama wa taasisi! Unakuta hadi anapewa gari kwa ajili ya patro kama taasisi ni kubwa mfano pale UDOM. Sema nini, wengine hao ni wezi wa mali za taasisi zinazobebeka.
 
Hayo mambo ya Suma JKT yalikuwa mambo ya Magufuli, zama za Magufuli zimekwisha, huu ni utawala wa Kizimkazi Chifu Hangaya.

Hujui mimi ni nani ndio maana nakushangaa sana unapretend na kufake maisha.
Yes sasa kazi kama usafi na ulinzi hufanywa kwa mfumo wa PPP. Kampuni yoyote unaweza kuihire. Nimetaja SUMA JKT kama kielelezo tu maana tenda nyingi za serikali za PPP wanachukua wao.
Huko airport ulikotaja mishahara ya security guard na security officer naijua vizuri. Classmates wangu kama 3 wako huko wawili security officers mmoja guard
 
Yes sasa kazi kama usafi na ulinzi hufanywa kwa mfumo wa PPP. Kampuni yoyote unaweza kuihire. Nimetaja SUMA JKT kama kielelezo tu maana tenda nyingi za serikali za PPP wanachukua wao.
Huko airport ulikotaja mishahara ya security guard na security officer naijua vizuri. Classmates wangu kama 3 wako huko wawili security officers mmoja guard
Nilichokwambia stop pretending na kufake maisha.

Mimi siyo waziri wala mbunge, lakini mishahara ya mawaziri na wabunge naijuwa.
 
Back
Top Bottom