Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes. Kwani nimepinga.Korokoroni ni kirokoroni tu wacha mbwembwe JF kuna kitengo kabisa cha kufukuwa makaburi.
Sawa. Kashike makoromeo yaliooza.Na Mimi ni doctor msomi mwandamizi Senior š š
vipi siku hizi unaajiri vijana wa afghanistan au huajiri kabisa?Hello!
Najua mtasema nina roho mbaya, mara roho ya kichawi.
Hapana. Niko fiti, nina upendo wote wa Kimungu.
Kwanini nifurahi ninapoona kijana wa Kitanzania msomi kwa mjinga wakipata taabu katika maisha?
ā¢Kwasababu vijana wa Kitanzania ni much know, hawashauriki. Unamweleza pita hapa pita kule utokee pale, atakuitikia baada ya muda anapita njia yake.
ā¢Kijana wa Kitanzania ni mbinafsi, yeye akipata ugali hawazi kuhusu hatma ya Watoto wa wengine hatma yao iko wapi.
Wengi wanajiingiza kwenye siasa kwasababu ya njaa zao za muda mfupi. Hawawazi hatma ya taifa lao.
⢠Kijana wa Kitanzania ni mnafiki, anayesababisha ugumu wa maisha ndiye watamuunga mkono na kumsifia ili tu wapate tonge la siku moja au mbili.
Leo hii kijana wa Kitanzania ana likadi la chama mfukoni akitega viajira vya wiki moja vya sensa na uchaguzi.
Sasa mtu kama huyu utamuhurimiaje?
Ataseke tu, hakuna namna.
Akileta barua ya kazi nikiipokea Mimi nitamwoji kama ana likadi tu naichana pindi tu akigeuza kichogo.
Zamani nimewapiga sana kampani wapate ajira na mishe zingine ila sasa nimejua rangi zao halisi .
Wateseke tu hakuna namna, labda katika wingi wa mateso yao watapata akili
Security gani anayelipwa vizuri? Unafahamu malindo wanailipa kampuni kwa kichwa? Kampuni inalipwa laki sita kwa kichwa wewe utalipwa shingapi kama siyo laki mbili?Yes. Kwani nimepinga.
Mimi nimekataa kufanyiwa mabadiliko ya kimuundo ya kiutumishi. I can be driver, HR officer etc.
Kama nalipwa vizuri, napata time ya kufanya mambo mengine kuna shida?
Sifanyi kazi kwenye kampuni ya Ulinzi.Security gani anayelipwa vizuri? Unafahamu malindo wanailipa kampuni kwa kichwa? Kampuni inalipwa laki sita kwa kichwa wewe utalipwa shingapi kama siyo laki mbili?
Oyaaaaa aiseee watu wanajua kufukua makaburi šššNaomba ushauri: Niko njia panda
Habari! Mimi ni mwajiriwa wa serikali ofisi X kwa kada ya ulinzi. Nina miaka 7 sasa tangu niajiriwe. Nimejenga nyumba ya kawaida sana. Na nina second hand car, namaanisha namiliki gari ya kuungaunga. Ninapenda sana magari. Nimechoka kulinda. Yaani nimechoka sana maana ni kazi ambayo hata mke...www.jamiiforums.com
We mwenyewe mlinzi hizo connection utampa nani?
Mkuu wewe una degree ya Human Resources lakini hujui utofauti Kati ya Check na Cheque?Pesa ninayolipwa sasa kwa ulinzi huu nakupita wewe wa TGTS E.
Na sidhani kama una check no.
Pia nina degree ya Human resources.
Kwahiyo Mimi siteseki.
Mlinzi kiongozi Mwandamizi.
Posho yangu tu inakuweka mjini.
Hakuna mahali kwenye ajira za serikali mlinzi analipwa pesa ndefu kama unavyosema.Sifanyi kazi kwenye kampuni ya Ulinzi.
Niko serikalini. Ni mlinzi mwenye sifa zangu.
Kuna mahali walinzi tunalipwa pesa ndefu ambayo Eng. wa Karatu DC haipati labda aibe kwenye makadirio ya miradi.
Nimewahi kuwa mlinzi wa mgodi Acacia walikuwa wananilipa 700k nikaingia TANAPA kama ranger mshahara ulikuwa mdogo compared na acacia nako nikaacha. Niliko sasa si haba .
Kwamba ulipo una pata pesa nyingi kushinda Eng. wa karatu DC !Sifanyi kazi kwenye kampuni ya Ulinzi.
Niko serikalini. Ni mlinzi mwenye sifa zangu.
Kuna mahali walinzi tunalipwa pesa ndefu ambayo Eng. wa Karatu DC haipati labda aibe kwenye makadirio ya miradi.
Nimewahi kuwa mlinzi wa mgodi Acacia walikuwa wananilipa 700k nikaingia TANAPA kama ranger mshahara ulikuwa mdogo compared na acacia nako nikaacha. Niliko sasa si haba .
Unaendelea kujidanganya mwenyewe, serikalini pia wana hire kampuni za security isipokuwa airport tu je unajuwa security wa airport wanatoka wapi?Sifanyi kazi kwenye kampuni ya Ulinzi.
Niko serikalini. Ni mlinzi mwenye sifa zangu.
Kuna mahali walinzi tunalipwa pesa ndefu ambayo Eng. wa Karatu DC haipati labda aibe kwenye makadirio ya miradi.
Nimewahi kuwa mlinzi wa mgodi Acacia walikuwa wananilipa 700k nikaingia TANAPA kama ranger mshahara ulikuwa mdogo compared na acacia nako nikaacha. Niliko sasa si haba .
Hahahaha..umepiga kwenye mshonoNaomba ushauri: Niko njia panda
Habari! Mimi ni mwajiriwa wa serikali ofisi X kwa kada ya ulinzi. Nina miaka 7 sasa tangu niajiriwe. Nimejenga nyumba ya kawaida sana. Na nina second hand car, namaanisha namiliki gari ya kuungaunga. Ninapenda sana magari. Nimechoka kulinda. Yaani nimechoka sana maana ni kazi ambayo hata mke...www.jamiiforums.com
We mwenyewe mlinzi hizo connection utampa nani?
Hahaa....kweli umeeleweka.Hello!
View attachment 3071795
Najua mtasema nina roho mbaya, mara roho ya kichawi.
Hapana. Niko fiti, nina upendo wote wa Kimungu.
Kwanini nifurahi ninapoona kijana wa Kitanzania msomi kwa mjinga wakipata taabu katika maisha?
ā¢Kwasababu vijana wa Kitanzania ni much know, hawashauriki. Unamweleza pita hapa pita kule utokee pale, atakuitikia baada ya muda anapita njia yake.
ā¢Kijana wa Kitanzania ni mbinafsi, yeye akipata ugali hawazi kuhusu hatma ya Watoto wa wengine hatma yao iko wapi.
Wengi wanajiingiza kwenye siasa kwasababu ya njaa zao za muda mfupi. Hawawazi hatma ya taifa lao.
⢠Kijana wa Kitanzania ni mnafiki, anayesababisha ugumu wa maisha ndiye watamuunga mkono na kumsifia ili tu wapate tonge la siku moja au mbili.
Leo hii kijana wa Kitanzania ana likadi la chama mfukoni akitega viajira vya wiki moja vya sensa na uchaguzi.
Sasa mtu kama huyu utamuhurimiaje?
Ataseke tu, hakuna namna.
Akileta barua ya kazi nikiipokea Mimi nitamwoji kama ana likadi tu naichana pindi tu akigeuza kichogo.
Zamani nimewapiga sana kampani wapate ajira na mishe zingine ila sasa nimejua rangi zao halisi .
Wateseke tu hakuna namna, labda katika wingi wa mateso yao watapata akili
Taasisi nyingi za umma sasa zinahire SUMA JKT ila bado kuna walinzi wasimamizi wa taasisi husika wanaoingia kwenye management na kusimamia baadhi ya mambo.Unaendelea kujidanganya mwenyewe, serikalini pia wana hire kampuni za security isipokuwa airport tu je unajuwa security wa airport wanatoka wapi?
Yani wewe unajiaminisha unaweza kudanganya watu wa JF? Jitafakari.
HakikaWewe tukikusachi vizuri hukosi uchawi.
Hayo mambo ya Suma JKT yalikuwa mambo ya Magufuli, zama za Magufuli zimekwisha, huu ni utawala wa Kizimkazi Chifu Hangaya.Taasisi nyingi za umma sasa zinahire SUMA JKT ila bado kuna walinzi wasimamizi wa taasisi husika wanaoingia kwenye management na kusimamia baadhi ya mambo.
Nikutumie picha ya I'd?
Mimi nakubaliana na wewe. Si ndio huwa wanaitwa maafisa usalama wa taasisi! Unakuta hadi anapewa gari kwa ajili ya patro kama taasisi ni kubwa mfano pale UDOM. Sema nini, wengine hao ni wezi wa mali za taasisi zinazobebeka.Taasisi nyingi za umma sasa zinahire SUMA JKT ila bado kuna walinzi wasimamizi wa taasisi husika wanaoingia kwenye management na kusimamia baadhi ya mambo.
Nikutumie picha ya I'd?
Yes sasa kazi kama usafi na ulinzi hufanywa kwa mfumo wa PPP. Kampuni yoyote unaweza kuihire. Nimetaja SUMA JKT kama kielelezo tu maana tenda nyingi za serikali za PPP wanachukua wao.Hayo mambo ya Suma JKT yalikuwa mambo ya Magufuli, zama za Magufuli zimekwisha, huu ni utawala wa Kizimkazi Chifu Hangaya.
Hujui mimi ni nani ndio maana nakushangaa sana unapretend na kufake maisha.
Nilichokwambia stop pretending na kufake maisha.Yes sasa kazi kama usafi na ulinzi hufanywa kwa mfumo wa PPP. Kampuni yoyote unaweza kuihire. Nimetaja SUMA JKT kama kielelezo tu maana tenda nyingi za serikali za PPP wanachukua wao.
Huko airport ulikotaja mishahara ya security guard na security officer naijua vizuri. Classmates wangu kama 3 wako huko wawili security officers mmoja guard