Nikiona kipindi kwenye TV nazima; nasumbuliwa na ugonjwa gani?

Nikiona kipindi kwenye TV nazima; nasumbuliwa na ugonjwa gani?

MSHINO

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,069
Reaction score
713
Wakuu habari za mchana, mimi siyo mpenzi wa siasa wala mfuasi wa chama chochote, huko nyuma niliwahi kufuatilia siasa nikaanza kukipenda sera za vyama vya upinzani hasa kipindi kile cha kuibuliwa kwa ufisadi wa RICHMOND, ECROW ACCOUNT, MELEMETA, TEGETA ECROW NA NK.

Baada ya aliekuwa waziri mkuu kuhamia huko niliwachukia wapinzani nikaamua kuacha kufuatilia siasa.

Mara akaja Marehemu Rais JPM nikaanza kufuatilia tena siasa, wakati mwingine nilikaa kwenye TV kuangalia ziara na mikutano yake.

Lakini baada ya JPM R.I.P sitaki tena kusikia CCM wala Upinzani, wakati mwingine nikiona mikuatano ya vyama hivi nazim hata TV nazima.

NAOMBENI USHAURI NASUMBULIWA NA UGONJWA GANI?
 
Chuki humchoma anayehifadhi.

Acha chuki ufurahie maisha
 
Kapate chanjo kwanza utakaa sawa tu
 
Kwa maelezo yako WEWE NI MHUNI WA KISIASA hivyo huwa unakutana nao moja kwa moja wahuni wenzio.
 
Mimi hasa nikikaona kale kabelgiji nazima na kuvunja na tv yenyewe kabisa.
 
Wakuu habari za mchana, mimi siyo mpenzi wa siasa wala mfuasi wa chama chochote, huko nyuma niliwahi kufuatilia siasa nikaanza kukipenda sera za vyama vya upinzani hasa kipindi kile cha kuibuliwa kwa ufisadi wa RICHMOND, ECROW ACCOUNT, MELEMETA, TEGETA ECROW NA NK.

Baada ya aliekuwa waziri mkuu kuhamia huko niliwachukia wapinzani nikaamua kuacha kufuatilia siasa.

Mara akaja Marehemu Rais JPM nikaanza kufuatilia tena siasa, wakati mwingine nilikaa kwenye TV kuangalia ziara na mikutano yake.

Lakini baada ya JPM R.I.P sitaki tena kusikia CCM wala Upinzani, wakati mwingine nikiona mikuatano ya vyama hivi nazim hata TV nazima.

NAOMBENI USHAURI NASUMBULIWA NA UGONJWA GANI?
Sasa hapo tatizo liko wapi? Kwani kwenye Tv lazima uangalie kila kipindi?
 
wakati mwingine nikiona mikuatano ya vyama hivi nazim hata TV nazima.

NAOMBENI USHAURI NASUMBULIWA NA UGONJWA GANI?
La hakuna ugojwa unaokusumbua.

Bali hali ya kujitambua imeongezeka, na ni dalili ya utu uzima pia.

Na pia itakusaidia sana kuepukana na madhara yatokanayo na kuangalia televisheni (TV).

Je wajua ni madhara yapi?
 
Mbaya ni kuwa hat usipoangalia au kufuatilia bado hao wana siasa na matamko yao na maamuzi yao yataendelea kuathiri maisha yako kila siku.
 
Back
Top Bottom