Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Mie nikiona kwapa la mwanamke huwa napata taswira ya kiungo chake cha uzazi. Yaani huwa napata hisia na kuumba picha yake akiwa uchi.
Nikiona kale kajasho kanatiririka, mie hoi...Binafsi nashauri kina mama waheshimu makwapa yao maana, nafikiri kuna wanaume wengine wenye hisia kama zangu.
Nikiona kale kajasho kanatiririka, mie hoi...Binafsi nashauri kina mama waheshimu makwapa yao maana, nafikiri kuna wanaume wengine wenye hisia kama zangu.