Nikipata utajiri nitakuwa katili sitakuwa na huruma

Nikipata utajiri nitakuwa katili sitakuwa na huruma

Kuna clip ya mkuu wa kaya na washikaji zake, anawaambia yeye akiwa mkuu wa kaya watu watalimia meno. Kwa bahati mbaya akawa kweli mkuu wa kaya na sasa watu wanalimia meno kweli kweli.

Kwa bahati mbaya kijana maono yako yatatimia na tutakukoma. Au wewe ndiyo Jiwe mwenyewe unatucheza shere hapa yaani sote wajinga na hatujitahidi.
 
Siku Mungu akinibariki na utajiri nitaufariji moyo wangu kwa kuwa katili na muonevu. Watu wanadharau sana. Nikinunua gari nawafuta hukohuko kwa wapita njia nakuwagonga na side mirror viunoni mwao.

Nitakuwa na nyodo na dharau iliyopitiliza. Na nitakuwa mbabe na kuonyesha jeuri ya, pesa.

Maumivu ninayo sasa hivi yani na hasira nataka kulipiza kisasi kwa wote waliniumiza kunidharau na kunitukana.

Hakuna yeyote ataingia kwenye mjengo wangu na hakuna yeyote ataingia kwenye V8 yangu.

Nitapaki gari langu mbele zao nakukaa kwenye bonet nan shampein kibao
Kwq roho hiyo baki nayo, hutatajirika ng'o!
Kwani pesa haijui kwa kwenda?
 
Mkuu kwa nini usisign contract na shetani maana utajiri mbona jamaa anautoa kwa masharti rahisi tu ya kuonesha upendo wako kwake
 
Mimi nadhani mleta mada kaamua kuwananga matajiri wa sasa namna wanavyobehave kwenye jamii zetu. Kuna watu huko mtaani wananyanyasa wengine mno.

Unakutana na watu huko wakisimulia manyanyaso ya matajiri mpaka inashangaza.

Mhudumu mmoja aliwahi nisimulia namna regular customer wao anavyowatukana anakuambia jamaa akiona wanachelewa kuleta oda yake anaanza kuwaambia wakakague usafiri aliokuja nao na kwamba umaskini wao ndio umewafanya wamhudumie yeye, you can imagine huyo mhudumu atakuwa na mawazo gani.
 
Siku Mungu akinibariki na utajiri nitaufariji moyo wangu kwa kuwa katili na muonevu. Watu wanadharau sana. Nikinunua gari nawafuta hukohuko kwa wapita njia nakuwagonga na side mirror viunoni mwao.

Nitakuwa na nyodo na dharau iliyopitiliza. Na nitakuwa mbabe na kuonyesha jeuri ya, pesa.

Maumivu ninayo sasa hivi yani na hasira nataka kulipiza kisasi kwa wote waliniumiza kunidharau na kunitukana.

Hakuna yeyote ataingia kwenye mjengo wangu na hakuna yeyote ataingia kwenye V8 yangu.

Nitapaki gari langu mbele zao nakukaa kwenye bonet nan shampein kibao
Mkuu tutakuloga
 
Hizo ndo uliota usiku wa Jana au juzi alafu ukaamka huna ata Mia hizo ndoto zakuokota pasa majumba kwenda ulaya kwa ndege binafsi yako alafu una amka zilikuwa ndoto hahaaaa ndoto raha Sana
 
Siku Mungu akinibariki na utajiri nitaufariji moyo wangu kwa kuwa katili na muonevu. Watu wanadharau sana. Nikinunua gari nawafuta hukohuko kwa wapita njia nakuwagonga na side mirror viunoni mwao.

Nitakuwa na nyodo na dharau iliyopitiliza. Na nitakuwa mbabe na kuonyesha jeuri ya, pesa.

Maumivu ninayo sasa hivi yani na hasira nataka kulipiza kisasi kwa wote waliniumiza kunidharau na kunitukana.

Hakuna yeyote ataingia kwenye mjengo wangu na hakuna yeyote ataingia kwenye V8 yangu.

Nitapaki gari langu mbele zao nakukaa kwenye bonet nan shampein kibao
Utakufa maskini pole sana kijana!
 
Mkuu watanzania wana madharau sana cha kushangaza wanaokudharau nao maisha yao ya kubahatisha. Kuna watu midomo yao ni sumu. Kisasi nitalipiza sema sheria za nchi. Nina hasira sana na wote nawaombea mabaya hakuna huruma. Nikiwa tajiri lazima niwe mbabe na dharau mbaya sana. Yeyote atakayenifuatafuata piga kumbo la taya nyanyua nakulitupa koringoni huku nikifyatua risasi kadhaa. Nyonga nyonga tu hamna huruma. Tumia majambazi maadui zangu wote. Tenga fungu la mabilion kwa kulipiza kisasi. Wale wanawake wote walionidharau na kuniabisha nikuwatuumia watu wawamwagie tindikali niko tayari hata kutoa Bilion. Naapa sitaongea na yeyote na sitajibu salamu yeyote. Nitakuwa mkali na amri Salam zangu kujibu ikibidi ni kufyatua risasi. Nitanunua gari kali na vyoo wakati wote nakufunga. Nikishika hata milioni kumi sasa hivi nyodo nitaonyesha. Nyambafu
Mkuu mufti Simba pole sana, mbona unaitesa nafsi yako? kwani mkuu unataraji kubadilisha nini katika ulimwengu huu zaidi ya wewe kudhalilika na kuishia mavumbini na walobaki wakakusahau na historia yako ilojaa ujivuni kibri na dharau pia kufutika.
Ni lazima tutambue aliyetuumba katuumba na akatuweka madaraja tofauti kwa makusudi yake, basi usiwe na ghadhab jitahidi kuwa msamehevu na fanya jitihada ya kutafuta mali kwa njia za halali huku ukimuomba mola wako akupe mali na akuongoze katika njia bora ya kuitumia mali hiyo.
 
Back
Top Bottom