Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Sasa , ukipata pesa utasahau yote HAYO machungu. Hata marafiki utabadilisha. Utawasahau marafiki masikini utajiunga na marafiki wenye pesaSiku Mungu akinibariki na utajiri nitaufariji moyo wangu kwa kuwa katili na muonevu. Watu wanadharau sana. Nikinunua gari nawafuta hukohuko kwa wapita njia nakuwagonga na side mirror viunoni mwao.
Nitakuwa na nyodo na dharau iliyopitiliza. Na nitakuwa mbabe na kuonyesha jeuri ya, pesa.
Maumivu ninayo sasa hivi yani na hasira nataka kulipiza kisasi kwa wote waliniumiza kunidharau na kunitukana.
Hakuna yeyote ataingia kwenye mjengo wangu na hakuna yeyote ataingia kwenye V8 yangu.
Nitapaki gari langu mbele zao nakukaa kwenye bonet nan shampein kibao
Ndio maana mungu atakuzidisha kuepo ndani ya umaskiniSiku Mungu akinibariki na utajiri nitaufariji moyo wangu kwa kuwa katili na muonevu. Watu wanadharau sana. Nikinunua gari nawafuta hukohuko kwa wapita njia nakuwagonga na side mirror viunoni mwao.
Nitakuwa na nyodo na dharau iliyopitiliza. Na nitakuwa mbabe na kuonyesha jeuri ya, pesa.
Maumivu ninayo sasa hivi yani na hasira nataka kulipiza kisasi kwa wote waliniumiza kunidharau na kunitukana.
Hakuna yeyote ataingia kwenye mjengo wangu na hakuna yeyote ataingia kwenye V8 yangu.
Nitapaki gari langu mbele zao nakukaa kwenye bonet nan shampein kibao
Au nasema uongo ndugu zangu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nireteeeni gwajimaaaaaa
Mitano tenaaa
Sawa unanishambulia bure tu lakini kwa upande mwengine kwanini hujiulizi nina hasira kiasi hiki. Hata kama haitatikea niwe tajiri lakini kwa bahati itokee tu kwa njia flani ama nyingine sicheki na mtu nitaishi kivyanguvyangu kama chui yeyote atakayethubutu kunikenulia meno nakunisogelea namtwanga risasiNdo maana ni masikini wa kutupwa
Hata baiskeli hutanunua mpaka siku unarudisha namba!
Mkuu watanzania wana madharau sana cha kushangaza wanaokudharau nao maisha yao ya kubahatisha. Kuna watu midomo yao ni sumu. Kisasi nitalipiza sema sheria za nchi. Nina hasira sana na wote nawaombea mabaya hakuna huruma. Nikiwa tajiri lazima niwe mbabe na dharau mbaya sana. Yeyote atakayenifuatafuata piga kumbo la taya nyanyua nakulitupa koringoni huku nikifyatua risasi kadhaa. Nyonga nyonga tu hamna huruma. Tumia majambazi maadui zangu wote. Tenga fungu la mabilion kwa kulipiza kisasi. Wale wanawake wote walionidharau na kuniabisha nikuwatuumia watu wawamwagie tindikali niko tayari hata kutoa Bilion. Naapa sitaongea na yeyote na sitajibu salamu yeyote. Nitakuwa mkali na amri Salam zangu kujibu ikibidi ni kufyatua risasi. Nitanunua gari kali na vyoo wakati wote nakufunga. Nikishika hata milioni kumi sasa hivi nyodo nitaonyesha. NyambafuHebu kaa utulie utueleze vizuri kilichotokea mpaka unakuwa na hasira kiasi hiki.
Jifunze kusamehe na kushukuru hata kwa pumzi tu uliyenaye, kipind wew Unawaza utajiri yupo mtu anataman japo maumivu yanayotokana na kansa yapungue ili angalau aweze kunywa maji tu amshukuru Mungu, mkuu hakuna mwenye kila kitu Dunia hii, hata hao wenye pesa kuna vitu wamepungukiwa au hawana kabisa. Jifunze kushukuru, upendo, kusamehe na kupambana, kupambana + muda ndo Unaweza kubahatisha utajiri.Mkuu watanzania wana madharau sana cha kushangaza wanaokudharau nao maisha yao ya kubahatisha. Kuna watu midomo yao ni sumu. Kisasi nitalipiza sema sheria za nchi. Nina hasira sana na wote nawaombea mabaya hakuna huruma. Nikiwa tajiri lazima niwe mbabe na dharau mbaya sana. Yeyote atakayenifuatafuata piga kumbo la taya nyanyua nakulitupa koringoni huku nikifyatua risasi kadhaa. Nyonga nyonga tu hamna huruma. Tumia majambazi maadui zangu wote. Tenga fungu la mabilion kwa kulipiza kisasi. Wale wanawake wote walionidharau na kuniabisha nikuwatuumia watu wawamwagie tindikali niko tayari hata kutoa Bilion. Naapa sitaongea na yeyote na sitajibu salamu yeyote. Nitakuwa mkali na amri Salam zangu kujibu ikibidi ni kufyatua risasi. Nitanunua gari kali na vyoo wakati wote nakufunga. Nikishika hata milioni kumi sasa hivi nyodo nitaonyesha. Nyambafu
Hunabudi kumuomba Jack Pemba akufundishe hii njia maana yeye alikuwa akiosha gari lake kwa Champaigne.Siku Mungu akinibariki na utajiri nitaufariji moyo wangu kwa kuwa katili na muonevu. Watu wanadharau sana. Nikinunua gari nawafuta hukohuko kwa wapita njia nakuwagonga na side mirror viunoni mwao.
Nitakuwa na nyodo na dharau iliyopitiliza. Na nitakuwa mbabe na kuonyesha jeuri ya, pesa.
Maumivu ninayo sasa hivi yani na hasira nataka kulipiza kisasi kwa wote waliniumiza kunidharau na kunitukana.
Hakuna yeyote ataingia kwenye mjengo wangu na hakuna yeyote ataingia kwenye V8 yangu.
Nitapaki gari langu mbele zao nakukaa kwenye bonet nan shampein kibao