fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Acha tu mkuu, yaani unakuwa unaona kama mlikuwa kwenye mashindano halafu wewe ndio umechukua kombe.Kupata seat kwenye mwendokasi sio kitoto
Ndo maaana sipend kuja dar nikiwaza kugombania seat.acha tu mkuu yaani unakua unaona kama mlkua kwenye mashindano afu ww ndo umechukua kombe
kwaiyo ss tunaopanda mwendo kasi hatuna akili au vp ustake kushambuliwa humu maana wengne nyinyi mnatumia mwendokasi humu mnajifanya mna magari yenuKwa akili hizi utegemee uchumi wa viwanda
ww njoo kugombnia seat hata china pia wanagombnia seat na ndo hii pia ni kama mazoezi unaweka mwili fiti em vuta picha pale unapigana vkumbo kupimana ubavu na watu kama wanne hyo asubuh na jioni kila siku si ni sawa sawa na yule anaekimbia jogingNdo maaana sipend kuja dar nikiwaza kugombania seat.
una maana gani mkuu kwamba unataka kusema....?waliporuhusu elimu bure basi wameua kila siku
kama movie ila ni uhalisia mkuu sio utaniNimecheka sanaaaa aisee!!!!!!!
Kwani mafanikio ni Nini!?ukijibu hili swali utagundua kitu kikubwa sana kwenye maisha Yako,na hutobabaishwa na Raha za mtu mwinginemimi ninapofaniliwa kupata seat kwenye mwendokasi halafu mwendokasi zikiwa ni za shida huwaga najiona kama nimeshawini
asante kwa kunielewaUsilaumiwe maana ndio akil yako inakutuma hivyo.
NB:
mtu anaye appreciate mafanikio madogo madogo ,likely anaweza kufanikiwa katika makubwa pia.
mafanikio ni ariKwani mafanikio ni Nini!?ukijibu hili swali utagundua kitu kikubwa sana kwenye maisha Yako,na hutobabaishwa na Raha za mtu mwingine
Na mimi ahsante kunielewa maana ungesoma haraka haraka ingekua otherwise 😂asante kwa kunielewa
China gani?? Acha bangi wewe unachanganya china na india??ww njoo kugombnia seat hata china pia wanagombnia seat na ndo hii pia ni kama mazoezi unaweka mwili fiti em vuta picha pale unapigana vkumbo kupimana ubavu na watu kama wanne hyo asubuh na jioni kila siku si ni sawa sawa na yule anaekimbia joging
unawashwa puru...?Wewe ni demu?
china hyhyo unayoijua ww mkuu unabisha au vepChina gani?? Acha bangi wewe unachanganya china na india??