hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,126
- 1,973
Mafanikio yanapimwa katika kuridhika kwako, ukitaka kuamini hili nenda vijijini ukaone watu ambao hawana exposure na mjini jinsi walivyoridhikamafanikio ni ari
na maendeleo ni vitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafanikio yanapimwa katika kuridhika kwako, ukitaka kuamini hili nenda vijijini ukaone watu ambao hawana exposure na mjini jinsi walivyoridhikamafanikio ni ari
na maendeleo ni vitu
Mwendokasi/daladala ni laanaSiwafichi wakuu, mimi ninapofaniliwa kupata seat kwenye mwendokasi halafu mwendokasi zikiwa ni za shida huwaga najiona kama nimeshawini kwenye maisha.
Najiona kama mimi nna gari langu kwahiyo hawa waliosimama huwaga nawaona kama maskini hivi, muda mwingine nawaonea huruma kabisa huku nimefungua kioo cha dirisha naangalia mandhari ya jiji la Dar haswa nikiwa napita route ya Kivukoni yaani raha nnayoipta yaani si mchezo wakuu.
Umaskini mbaya sana, tujitahidi tutafute pesa ndugu zangu tunaotumia daladala hali ni mbaya ila huwaga nainjoi maana ndo maisha yetu haya.
#Yesbishoohaswaaa
Jibu swali....Wewe ni demu? Mbona swali rahisi tu [emoji23][emoji23]unawashwa puru...?
Jibu swali....Wewe ni demu? Mbona swali rahisi tu [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app