Ata usipotaja id akisoma hii comment si atakua ameshajuaMh wanawake wa humu me sijui nawaonaje,kuna mmoja humu anatumia i.d nzuri sana nkajua kisu,siku naenda kumeet nae nlichokutana nacho siri yangu siwez kuanika hapa!
huo ni upuuzi.achana nae au ongea na(mshana)amshushe busha la kike[emoji1] [emoji12]Nilimpenda sana mke wangu sababu ya tabia zake na upole wake juu yangu kumbe nilikuwa sijajua yeye ni nyoka.
Nimemkuta yuko na maisha ya chini sana nimesaidia yeye na ukoo wake nikasema nimpe mtaji kaanza biashara sasa nyota imemwakia China kila leo.
Mungu sio Lemutuz juzi nampigia simu kwenye mtandao wa We chat mtu hapokei. Kwakuwa nilijua yuko hotel gani nikagoogle hotel nikapata number eeeh nikapiga reception kuomba waniunganishe nae kapokea mwanaume nilivyosikia sauti ya mwanaume nikaongea kama mchina can I talk to ..... ;nikamtajia jina. Mke kapewa simu kusikia sauti yangu kakata simu.
Roho inaniuma sana sina nguvu maumivu haya ni mazito ukitoa msiba wa mamangu hakuna naweza fananisha na maumivu haya siku nikipenda tena nigeuke nguruwe nimeweka nadhiri.
Nmepata point apaKuna moments mbili tu ambazo binadamu unatakiwa usizungumze chochote. Nazo ni:
1. Ukiwa na furaha sana
2.Ukiwa na hasira sana
Hii ni kwasababu ukiwa na furaha sana (excited), unaweza kuongea/ kufanya kitu beyond brain ability, na watu wakashangaa.
Kwa upande mwingine ukiwa na hasira sana unaweza kutenda jambo hatarishi sana, au ukasema kitu cha ajabu sana kama hicho kiapo cha eti ugeuke nguruwe.
Unapopitia moment hizi mbili unashauriwa usiongee wala kutenda chochote, tulia, jipe muda kidogo kabla hujafanya. Hii itatusaidia. Nawaslisha
[emoji2] [emoji2] [emoji28] hahah mkuu umenichekesha sio Kwa Promo hizo!au ndio vyuma vimekaza.njoo kwangu sitakusumbua hata kidogo
I learned it rhe hardway man. hata mm nilipita kitu kilichofanana hivyo hivyo, alichonifanya yule dada,sitokisahau. Yes nimesamehe but realy ilibadilisha mtazamo wangu juu ya wanawake.Pole sana.
Bila maumivu ya mapenzi huwezi kujua nn maana ya mapenzi.
Sasa hivi, fanya hivi.
Jifanye km hauna wivu kwakuwa huyo ni mkeo. Jipendekeze usioneshe hali ya kukasirika au kuchukia. Anza kujipenyeza kweny biashara, hata akikuripia ww usikasirike hata ukimkuta na jamaa ww uchune. Muoneshe mapenzi moto moto,ukishafanikisha kuingia kweny biashara yake, anza kumfilisi taratibu na kwa umakini mkubwa sana.
Halafu muache. Mwanamke ambaye umemkuta hana kitu huwa ni hatari sana akiaanza kushika hela, na ww unaonekana hauna hadhi ya kuwa naye. Pole sana
umepanda miwa ndani ya shule.hawa ni dada zetu,mama zet,wake zetu,wachumba zetu.kiukweli si kuwahamini kwa asilimia 90 katika mapenzi.story yako kwamba mpa hapo wewe na mke.mke wako ndiye mwenye pesa sasa.pesa ndiyo imekusalitia ndoa yako
Falasy of hasty generalization!Mzima kwanza, mtetezi wa wanawake...! Nyie viumbe kwa kiasi kikubwa anayewaonea huruma huwa awaelewi vyema...!
Nikimuonea huruma mwanamke ni kwa hisani but they don't deserve aisei..!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]njoo kwangu sitakusumbua hata kidogo
chunguza kwanza ujue.hapa hutapata ushauri mzuri.maana wewe ndo mwenye familia,akili yako ndiyo ina maamuziHapana nimemzidi sana pesa kwa kiwango kikubwa
Hahahahhaha, umenichekesha sana mkurugenziMkuu ukigeuka kitimoto tutakutafuna aisee
Huenda maisha ya ndoa umeyachoka. Yan simu ya shemeji yako hata huwa siigusi. Maisha yanaendaHaki yak nani we jamaa umenishtua, nilikua naunga mkono hoja ya kutomchunguza mwanamke ila nimebadilisha gia angan naanza kumchunguza kuanzia leo kuliko kusubiri nishafunga ndoa na nimeshakula lost za kutosha, naanza leo ushushu bado sijachelewa bora nusu shari kuliko shari, wenye msimamo bakini hvyo hvyo nakuhakikishia wewe utakua punda kama si bata.
Hakuna aja ya kuchunguza uyo ana pigwa mambo tu. Mwanamke haachwi huru kiasi icho.Chunguza kwanza