Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Ingawaje wala la Mwanamke kutoka nje ya ndoa sio guarantee lakini kuna kazi zinavishawishi sana kwa wanawake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaa pole mkuuNilimpenda sana mke wangu sababu ya tabia zake na upole wake juu yangu kumbe nilikuwa sijajua yeye ni nyoka.
Nimemkuta yuko na maisha ya chini sana nimesaidia yeye na ukoo wake nikasema nimpe mtaji kaanza biashara sasa nyota imemwakia China kila leo.
Mungu sio Lemutuz juzi nampigia simu kwenye mtandao wa We chat mtu hapokei. Kwakuwa nilijua yuko hotel gani nikagoogle hotel nikapata number eeeh nikapiga reception kuomba waniunganishe nae kapokea mwanaume nilivyosikia sauti ya mwanaume nikaongea kama mchina can I talk to ..... ;nikamtajia jina. Mke kapewa simu kusikia sauti yangu kakata simu.
Roho inaniuma sana sina nguvu maumivu haya ni mazito ukitoa msiba wa mamangu hakuna naweza fananisha na maumivu haya siku nikipenda tena nigeuke nguruwe nimeweka nadhiri.
hahaaa sasa mkuu uchunguze nini tena.hapo...akili kumkichwa..tena wala usimuulize maana atkuwa ameshakuandalia binge silacinema ya udanganyifu...Hakuna kuchunguza ni mwanaume wake tanzania ilikuwa saa 4 usiku China saa 10 usiku nachunguza nini ndugu saa 10 usiku na sauti za watu wako usingizin
Duuuuu. Sio kwa kiapo hicho mkuu. Ila kaka jipe moyo hayo nimajaribu tu, jaribu kufuta matukio yote halafu simama tena nadhani utaona upendo mpya kwakoNilimpenda sana mke wangu sababu ya tabia zake na upole wake juu yangu kumbe nilikuwa sijajua yeye ni nyoka.
Nimemkuta yuko na maisha ya chini sana nimesaidia yeye na ukoo wake nikasema nimpe mtaji kaanza biashara sasa nyota imemwakia China kila leo.
Mungu sio Lemutuz juzi nampigia simu kwenye mtandao wa We chat mtu hapokei. Kwakuwa nilijua yuko hotel gani nikagoogle hotel nikapata number eeeh nikapiga reception kuomba waniunganishe nae kapokea mwanaume nilivyosikia sauti ya mwanaume nikaongea kama mchina can I talk to ..... ;nikamtajia jina. Mke kapewa simu kusikia sauti yangu kakata simu.
Roho inaniuma sana sina nguvu maumivu haya ni mazito ukitoa msiba wa mamangu hakuna naweza fananisha na maumivu haya siku nikipenda tena nigeuke nguruwe nimeweka nadhiri.
Marufuk ya nn keshagongewa. Ningekuwa mm ningemkeketa uyo Demu asipate genye tenaMkuu uchunguzi si ndo huo.? Akirudi marufuku China !!
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Hivi utakuwa umeishiwa hivyo binti yangu!!!
Haha shikamoo mama kumbenaBahati mbaya sana vigezo vimepwaya sana.
hahaaaaaMh wanawake wa humu me sijui nawaonaje,kuna mmoja humu anatumia i.d nzuri sana nkajua kisu,siku naenda kumeet nae nlichokutana nacho siri yangu siwez kuanika hapa!
Hahaha ilikuaje comradeMh wanawake wa humu me sijui nawaonaje,kuna mmoja humu anatumia i.d nzuri sana nkajua kisu,siku naenda kumeet nae nlichokutana nacho siri yangu siwez kuanika hapa!
nimeona, maana akimfuata tu jamaa anageuka noah ( nguruwe). Sijambo za wewe?Umeona eehehh..! Coleta mpenzi ujambo mama...!
kwa hiyo sasa jimbo lipo wazi au? Mie nataka kugombea kama lipo wazi huenda naweza nikawa mbunge mzuri na kuleta uwakilishi bora katika himaya ya familia. Waiting to hear from YOU!Not all!! Kuna MTU tulipanga nae, nasubiria arudi toka masomoni tutiliane saini kilammoja ale kwake and I mean it, miaka 3 tuliyokubaliana, ingawa yeye ameshaenda mbaaali na sitowezarudiana nae kabisa! I only keep the promise of those 3 yrs to me! Nashukuru nimeweza
Ntafanya kwakuwa mimi ni mwanadamu lakin kupenda hapana