Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,616
Hii thread kama ilishakuwepo tukaijadili sana sijui urudi nyuma usome hizo comments halafu tuendelee unaonaje???
endeleeni tu, labda wengine ni wageni humu na angehitaji msaada wenu. inawezekana hili ni tatizo la wengi na siyo mimi tu...
nimelogwa na nani sasa? demu wangu au majirani? hivi haya mambo nayo yanalogeka eeeh?umeleogwa
mmmh, sasa hapo si ndio ntasinzia kabisa hata kabla ya kazi yenyewe kuanza?piga puchu bao mbili kabla hujaingia ulingoni kwa demu
mbona basi huleti? unajua nasubiri kwa ham mnoNgoja nikuletee basi usihofu
mbona basi huleti? unajua nasubiri kwa ham mno
nimelogwa na nani sasa? demu wangu au majirani? hivi haya mambo nayo yanalogeka eeeh?
majirani watakuwa wanakuonea wivu ndo wamekuroga.yaani haiwezekani goli moja umarembua mimacho kama teja..haiwezekani hata kidogo
majirani watakuwa wanakuonea wivu ndo wamekuroga.yaani haiwezekani goli moja umarembua mimacho kama teja..haiwezekani hata kidogo
pole sana mkuu,
kuna maswali mawili yawekwe sawa
1. ni kuanzia lini hiyo khali imetokea
2. ni wanawake wangapi umewahi kufanya nao mapenzi mtangu ubaleee
3.je ni wote ulikuwa inapiga bao moja tu unachoka
The truly unpredictable strive to cultivate an image of predictability.
Ugonjwa muone daktari