Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,932
- 1,726
Duh, nilifikiria nimekudayagnozi vizuri kumbe sijapatia. Haya bana, inabidi waganga wengine walitafutie tiba tatizo lako!hii shughuli sijawahi kuhangaika nayo kabisa....hapo kwenye red
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, nilifikiria nimekudayagnozi vizuri kumbe sijapatia. Haya bana, inabidi waganga wengine walitafutie tiba tatizo lako!hii shughuli sijawahi kuhangaika nayo kabisa....hapo kwenye red
inawezekana kuna kitu huwa anafanya? eeeh. mi huwa nikistuka nakuta na yeye keshalala...we ni mdada, kwani huwa ikitokea hivyo mwanamke anaendelea kufanya nini?
njoo tufanye praktical utajua mpango kamili
nipo somalia apa karibu wkend tutende!!1
uko mitaa gani ? modagishu au? kwa sabab ni dawa ntakuja hukonjoo tufanye praktical utajua mpango kamili
nipo somalia apa karibu wkend tutende!!1
Duh... Somalia!!! Hivi kule watu wanafanyaga kweli? Maana fikiria kati ya majambo kabomu kanaruka kama vile vya mbagala...
Na wewe bana
ukienda ku do kula mirungi si chini ya mitano
kwishna ukilala basi weewe una kaugonjwa kapime fbp
ha ha ha ha lol!!!!!!!!!!
njoo tufanye praktical utajua mpango kamili
nipo somalia apa karibu wkend tutende!!1
kweli bana ..haiwezekani yaani wewe koka umnunulie ,chipsi zako ale ,vocha umtumie na taxi ulipe halafu eti ukiingia uwanjana kimoja tu umelegea kama sio kurogwa ni nini jamani
Lakini ukiamka si kamchezo kanaendelea tena, then unalala ukiamka tena then unalala, ukiamka tena then unalala ukiamka tena then......., hiyo safi kabisa, otherwisw unamtesa huyo dada wa watu an the best way mlete hapa JF ili wakali wampe enjoyment kidogo asije kufa akiwa hajawi kunanihino!
hii imeanza mwaka huu,
nilishapiga wengi mpaka idadi siikumbuki sana...
lakini kwa mfano nikiwa na mwingine, napiga mpaka tatu ndio nalala, ila nikiwa na huyu mchuma wangu, ni kamoja tu, hoi...
kweli bana ..haiwezekani yaani wewe koka umnunulie ,chipsi zako ale ,vocha umtumie na taxi ulipe halafu eti ukiingia uwanjana kimoja tu umelegea kama sio kurogwa ni nini jamani
naona vijana wengi wamekuja na ushauri, ngoja nasi wazee tukusaidie:
1) its called boredom of love. Tatizo kubwa linatokana na kufanya mapenzi ki-routine, inakuwa unaelewa na mpenzi wako anaelewa, mtaanza vipi, mtamaliza vipi mpaka inakuwa ni routine na kila mmoja ana kuwa bored. Tiba: Badilisha routine za kufanya mavituz, kama vile badili time, venue na tactics.
2) unafanya kazi sana za kukuchosha si tu kimwili bali kimawazo. Angalia, ikiwa ni kazi tuuu na nyumbani ujuwe kuna kazi! Tiba: Kazi na mchezo, mchezo na kazi. Ukiona umetingwa sana na kazi na unaweza kukimbia nyumbani kwa lisaa limoja basi fanya hivyo, ondoa presha kwa kuvinjari na your lover nyumbani, halafu rudi kazini, you will succeed in both.
3) unafanya tendo la ndoa kwa mpenzi wako ili mradi tu basi ulifanye na unakuwa huna hamu nalo. Tiba: Usifanye mapenzi mpaka pale unaposikia kweli unataka kufanya na mwenzako kweli anataka kufanya.
Hayo yote ni kwa wana-ndowa tu.