nikipiga simu kwa mpenzi wangu akawa anatumika nakuwa na mwazo sana

nikipiga simu kwa mpenzi wangu akawa anatumika nakuwa na mwazo sana

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
twajibiii

mimi nikimpigia simu mtu wangu akawa anatumika nakuwa na mawazo na hasira juu nawaza vingi sana

anaongea na nani?

wanaongea nini?

inamaana kuna mtu yupo wakumpigia simu na kuongea nae mda wote mm ananichukuliaje?

na asipo jibu sms ndio kuzidi

nahisi kuna mtu bora zaidi yangu kwake ambaye akiona sms yake anajibu kwa haraka yaani navurugwa kabisa ase

hapa juzi nilimpigia simu usiku saa nne ikawa inatumika nikakata baada ya dakika kadhaa akapiga nikakata

sijamtafuta up leo nimemwambia asinitafute ila naumia sana kwasababu nampenda sana af yeye anatumia udhaifu wangu niafanyeje?
 
twajibiii

mimi nikimpigia simu mtu wangu akawa anatumika nakuwa na mawazo na hasira juu nawaza vingi sana

anaongea na nani?

wanaongea nini?

inamaana kuna mtu yupo wakumpigia simu na kuongea nae mda wote mm ananichukuliaje?

na asipo jibu sms ndio kuzidi

nahisi kuna mtu bora zaidi yangu kwake ambaye akiona sms yake anajibu kwa haraka yaani navurugwa kabisa ase

hapa juzi nilimpigia simu usiku saa nne ikawa inatumika nikakata baada ya dakika kadhaa akapiga nikakata

sijamtafuta up leo nimemwambia asinitafute ila naumia sana kwasababu nampenda sana af yeye anatumia udhaifu wangu niafanyeje?
Mwanzoooo

Ama mithalii
 
twajibiii

mimi nikimpigia simu mtu wangu akawa anatumika nakuwa na mawazo na hasira juu nawaza vingi sana

anaongea na nani?

wanaongea nini?

inamaana kuna mtu yupo wakumpigia simu na kuongea nae mda wote mm ananichukuliaje?

na asipo jibu sms ndio kuzidi

nahisi kuna mtu bora zaidi yangu kwake ambaye akiona sms yake anajibu kwa haraka yaani navurugwa kabisa ase

hapa juzi nilimpigia simu usiku saa nne ikawa inatumika nikakata baada ya dakika kadhaa akapiga nikakata

sijamtafuta up leo nimemwambia asinitafute ila naumia sana kwasababu nampenda sana af yeye anatumia udhaifu wangu niafanyeje?
Tafuta pesa wanawake ndivyo walivyo, unamtumia pesa atakwambia mbona hujatuma ya kutolea, ukimtumia muda wa maongezi anaweza asikipigie wala kukutumia sms ya asante nimepata kumbuka wako wengi na nyie mko wengi
 
Tafuta pesa wanawake ndivyo walivyo, unatumia pesa atakwambia mbona hujatuma ya kutolea, ukimtumia muda wa maongezi anaweza asikipigie wala kukutumia sms ya asante nimepata kumbuka wako wengi na nyie mko wengi
duh kasheshe
 
Back
Top Bottom