Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 3,338
- 6,327
hapana
atakama anatakiwa ajue mm nina nafasi gan kwake
Ongea nae juu ya unavyojiskia atakuelewa tuu ila kama atakukazia
Tanzania ina idadi kubwa ya wanaume kuliko wanawake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana
atakama anatakiwa ajue mm nina nafasi gan kwake
broOngea nae juu ya unavyojiskia atakuelewa tuu ila kama atakukazia
Tanzania ina idadi kubwa ya wanaume kuliko wanawake.
Kwa uandishi huu acha tu mpenzi wako atumikesina uwakik
Uko vizuri kwenye, social inferenceKwa uandishi huu acha tu mpenzi wako atumike
ni mtazamo wako I respectKwa uandishi huu acha tu mpenzi wako atumike
Huu mtihani sio kwako tu,tuko wengi.twajibiii
mimi nikimpigia simu mtu wangu akawa anatumika nakuwa na mawazo na hasira juu nawaza vingi sana
anaongea na nani?
wanaongea nini?
inamaana kuna mtu yupo wakumpigia simu na kuongea nae mda wote mm ananichukuliaje?
na asipo jibu sms ndio kuzidi
nahisi kuna mtu bora zaidi yangu kwake ambaye akiona sms yake anajibu kwa haraka yaani navurugwa kabisa ase
hapa juzi nilimpigia simu usiku saa nne ikawa inatumika nikakata baada ya dakika kadhaa akapiga nikakata
sijamtafuta up leo nimemwambia asinitafute ila naumia sana kwasababu nampenda sana af yeye anatumia udhaifu wangu niafanyeje?
Bebi anaongea na bebi wake.Nongwa ya nn.twajibiii
mimi nikimpigia simu mtu wangu akawa anatumika nakuwa na mawazo na hasira juu nawaza vingi sana
anaongea na nani?
wanaongea nini?
inamaana kuna mtu yupo wakumpigia simu na kuongea nae mda wote mm ananichukuliaje?
na asipo jibu sms ndio kuzidi
nahisi kuna mtu bora zaidi yangu kwake ambaye akiona sms yake anajibu kwa haraka yaani navurugwa kabisa ase
hapa juzi nilimpigia simu usiku saa nne ikawa inatumika nikakata baada ya dakika kadhaa akapiga nikakata
sijamtafuta up leo nimemwambia asinitafute ila naumia sana kwasababu nampenda sana af yeye anatumia udhaifu wangu niafanyeje?
mnawezaje vumilia?Huu mtihani sio kwako tu,tuko wengi.
hapanBebi anaongea na bebi wake.Nongwa ya nn.
Hutaki mwezio atumike?
Jibu lipo uchi sanaAnaongea na mpenzi wake mkuu😁
Tusake tu pesa mkuu , tutazeeka siku moja😁Jibu lipo uchi sana
Yah man kikubwa pesa na nguvu ziwepo.Tusake tu pesa mkuu , tutazeeka siku moja😁
Hili swala la wadada kuwa kwenye mahusiano na watu wa umri mkubwa naona kama wanaturingishia sana😁Yah man kikubwa pesa na nguvu ziwepo.
Acha wawe tu kule wanafuata pesa, huku nguvu.Hili swala la wadada kuwa kwenye mahusiano na watu wa umri mkubwa naona kama wanaturingishia sana😁
Kwendraaa acha kusumbua watu....saa nne unapiga simu unamdai?