nikipiga simu kwa mpenzi wangu akawa anatumika nakuwa na mwazo sana

nikipiga simu kwa mpenzi wangu akawa anatumika nakuwa na mwazo sana

twajibiii

mimi nikimpigia simu mtu wangu akawa anatumika nakuwa na mawazo na hasira juu nawaza vingi sana

anaongea na nani?

wanaongea nini?

inamaana kuna mtu yupo wakumpigia simu na kuongea nae mda wote mm ananichukuliaje?

na asipo jibu sms ndio kuzidi

nahisi kuna mtu bora zaidi yangu kwake ambaye akiona sms yake anajibu kwa haraka yaani navurugwa kabisa ase

hapa juzi nilimpigia simu usiku saa nne ikawa inatumika nikakata baada ya dakika kadhaa akapiga nikakata

sijamtafuta up leo nimemwambia asinitafute ila naumia sana kwasababu nampenda sana af yeye anatumia udhaifu wangu niafanyeje?
Huu mtihani sio kwako tu,tuko wengi.
 
twajibiii

mimi nikimpigia simu mtu wangu akawa anatumika nakuwa na mawazo na hasira juu nawaza vingi sana

anaongea na nani?

wanaongea nini?

inamaana kuna mtu yupo wakumpigia simu na kuongea nae mda wote mm ananichukuliaje?

na asipo jibu sms ndio kuzidi

nahisi kuna mtu bora zaidi yangu kwake ambaye akiona sms yake anajibu kwa haraka yaani navurugwa kabisa ase

hapa juzi nilimpigia simu usiku saa nne ikawa inatumika nikakata baada ya dakika kadhaa akapiga nikakata

sijamtafuta up leo nimemwambia asinitafute ila naumia sana kwasababu nampenda sana af yeye anatumia udhaifu wangu niafanyeje?
Bebi anaongea na bebi wake.Nongwa ya nn.

Hutaki mwezio atumike?
 
Bado ujaiva kwenye mapenzi, kama mpaka sasa unawaza simu ya mpenzi wako.

Bado ujaiva kwenye mapenzi kama mpaka sasa ujui kama unatembea na mme wa mtu.

Bado ujaiva kwenye mapenzi kama mpaka sasa una wivu kupitiliza.

Bado ujaiva kwenye mapenzi kama unaona mpenzi wako ni mali yako.

Bado ujaiva kisaikolojia kama unaumiza nafsi yako kwa ajili ya mtu mwingine.
 
Back
Top Bottom