Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
naumia nataman kumove on siwezAnaongea na mpenzi wake mkuu😁
sina uwakikUna hakika huyo ni mpenzi wako ama mpenzi wenu?
yeye anatakiwa akiona simu yangu anakata ile anayo ongea naye Kisha ananisikiliza ivyo ndivy natakaHana kazi ama ndugu? Je hana mpenzi?
Lipa mahariatakama
yeye anatakiwa akiona simu yangu anakata ile anayo ongea naye Kisha ananisikiliza ivyo ndivy nataka
Utamove tu jipe mdaacha tu
naumia nataman kumove on siwez
Lipa mahali
I'm jikite kwenye madaUmri wako tafadhali!
Mungu anisaidie iwe mapemaUtamove tu jipe mda
Kumbuka ni mpenzi sio mkemapema sana
Mwanzooootwajibiii
mimi nikimpigia simu mtu wangu akawa anatumika nakuwa na mawazo na hasira juu nawaza vingi sana
anaongea na nani?
wanaongea nini?
inamaana kuna mtu yupo wakumpigia simu na kuongea nae mda wote mm ananichukuliaje?
na asipo jibu sms ndio kuzidi
nahisi kuna mtu bora zaidi yangu kwake ambaye akiona sms yake anajibu kwa haraka yaani navurugwa kabisa ase
hapa juzi nilimpigia simu usiku saa nne ikawa inatumika nikakata baada ya dakika kadhaa akapiga nikakata
sijamtafuta up leo nimemwambia asinitafute ila naumia sana kwasababu nampenda sana af yeye anatumia udhaifu wangu niafanyeje?
atakama anatakiwa ajue mm nina nafasi gan kwakeKumbuka ni mpenzi sio mke
Hivyo ana uhuru wa kufanya vile anavyoona inamfaa bila kukunyima haki zako za msingi
Tafuta pesa wanawake ndivyo walivyo, unamtumia pesa atakwambia mbona hujatuma ya kutolea, ukimtumia muda wa maongezi anaweza asikipigie wala kukutumia sms ya asante nimepata kumbuka wako wengi na nyie mko wengitwajibiii
mimi nikimpigia simu mtu wangu akawa anatumika nakuwa na mawazo na hasira juu nawaza vingi sana
anaongea na nani?
wanaongea nini?
inamaana kuna mtu yupo wakumpigia simu na kuongea nae mda wote mm ananichukuliaje?
na asipo jibu sms ndio kuzidi
nahisi kuna mtu bora zaidi yangu kwake ambaye akiona sms yake anajibu kwa haraka yaani navurugwa kabisa ase
hapa juzi nilimpigia simu usiku saa nne ikawa inatumika nikakata baada ya dakika kadhaa akapiga nikakata
sijamtafuta up leo nimemwambia asinitafute ila naumia sana kwasababu nampenda sana af yeye anatumia udhaifu wangu niafanyeje?
jikite kwenye mada mzeeJinsia yako tafadhali.
duh kashesheTafuta pesa wanawake ndivyo walivyo, unatumia pesa atakwambia mbona hujatuma ya kutolea, ukimtumia muda wa maongezi anaweza asikipigie wala kukutumia sms ya asante nimepata kumbuka wako wengi na nyie mko wengi