Nikipona mchepuko anakula kibuti maana haridhiki

Hakuna kitu kinachorudisha nyuma maendeleo ya wanaume wengi kama michepuko. Yaani ni kwikwi. Utakuja kushtuka pameshakucha na hakuna namna ya kurevive situation tena.
 
Baki na Mkeo mtatue tofauti zenu.

Michepuko itakupa hasara ya umasikini, upotezaji wa muda na/au magonjwa ya zinaa.
 
Fair game... Unamtumia kwa starehe and she knows na yeye anatumia pesa zako
 
Wanaume wengine mnachafua taswira ya wanaume wote, huu upuzi ungebaki nao kichwani..nimekudharau sana...sio kila kitu cha kusema mbele za watu
 
Mkuu we Jipu.. where do you get all that money these current days!!!!!!!
 
Unauliza kama upo sahihi kuwa na mchepuko au kwa dhamira yako ya kumtolea mchepuko wako vitu nje?? By the way always remember mtenda hutendwa,what goes around comes around.
 
Unataka mchepuko akupende kwani una malengo naye. Umesahau hio ni kama biashara kati ya papuchi na pesa...
 
Sasa unataka ule bure tu...hyo ndo dhaman ya uaminifu...ilipie..kama hautak mruhusu awe anatoka na midume mingne ili acwe anakuomba hela
 
Hatuwez kusuruhishwa maana kila mmoja anajiona anaweza ishi bila mwenzake na vyeo anavyopanda ndo vinampa kibur zaid acha tuish hivi hivi na sina mpango wa kuoa tena
Hayo matatizo ya ndoa yako kwa jinsi unavyoyaelezea yanaletwa na wewe kushindwa kusimama kama kichwa na kiongozi wa familia amini hivyo. Kuvunjika kwa ndoa ni kushindwa kwako kusimama kwenye nafasi yako hivyo nafasi yako imepokwa na mwenza wako na wewe umeshindwa kurudi kwenye kiti chako cha kichwa cha familia. Jichunguze pigania ndoa yako isimame upya. Michepuko sio tatizo kuwa nayo maana hata wenye ndoa zisizo na ugomvi tunayo. Tatizo ni ndoa yako irudishe upate furaha na watoto walelewe na wazazi wote kwa Amani na Upendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…