Nikipona mchepuko anakula kibuti maana haridhiki

mkuu angalia unavyorukaruka..... huyo anapenda your money, na kwa sbb wewe ni zoba,, akikohoa kdg unatoa,,, achana nae na usijaribu videm vya chuo pasua kichwa balaa..... tafuta angalau mjane....hahahaaaa au signle mom.....
 
mkuu angalia unavyorukaruka..... huyo anapenda your money, na kwa sbb wewe ni zoba,, akikohoa kdg unatoa,,, achana nae na usijaribu videm vya chuo pasua kichwa balaa..... tafuta angalau mjane....hahahaaaa au signle mom.....
Mjane[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Una roho nzuri sijapata onaa!karne hii? Unatunza mchepuko kwa adabu zote? Wala kwa Mungu huna dhambi ya kuchepuka kaka![emoji15]
 
We katili na wakati mwenyewe umejifanya una hela sasa kwanini usikanguliwe??mambo mengine mnajitakiaga tu we umejionesha unazo so nayeye anazipigia hesabu hizo hizo.
 
Sasa wewe unalialia nini? wakati unasema wewe umemlipia kodi vimil kadhaaaaaaaaaaa...............................?
 
Haupo sahihi.huo ni udhalilishaji
Mwambie tu mambo hayapo vizuri pesa inasumbua kidogo nitakununulia siku nyingine iphone 7

NAPINGA HOJA YAKO....JAMAA YUKO SAHIHI.

HUITAJI KUMWAMBIA MCHEPUKO JUU YA HALI HALISI YA UCHUMI WA SASA WA BWANA JPM...IKO WAZI MPAKA WATOTO WADOGO WANAJUA IWEJE YEYE AZIDIWE AKILI HATA NA WATOTO WA PRAIMARI?
MCHEPUKO APIGWE CHINI ATAFUTWE WA KUSOMA CHUO NADHANI ATATHAMINI MCHANGO WA SPONSOR WAKE NA KUMUHESHIMU KAMA HAHA YETU.

KUHUSU MKE KUWA MBALI ...BADO NAUNGA MKONO HOJA YA MLETA MADA KUCHEPUKA...HUWEZI KUKAA MWEZI MZIMA MAMA KASAFIRI WEWE HUGONGI,....KICHUPA KIMEJAA MWISHOWE UCHAFUE MASHUKA KWA KUJIPIGA MIBAO YA NDOTONI.

KUHUSU MIGOGORO NA MKE WA NDOA NADHANI HILI SUALA LIPELEKWE KWA MSHENGA AKISHINDWA PELEKA KWA WAZAZI WAKISHINDWA PELEKA KWA VIONGOZI WA DINI WAKISHINDWA TIMBA MAHAKAMANI FILE DIVORCE ACHANA NA MKEO RASMI KISHA OA MMOJA KATI YA MICHEPUKO YAKO....NASHAURI UOE HUYO WA CHUO MAANA UMEMGHARAMIA KUANZIA KUSOMA ... MTIE MIMBA AZAE KISHA MWAKA WATATU ARUDI CHUO KUMALIAZIA.
 
[emoji13] [emoji13] aje kwangu mm mjane mm nataka nokia ya tochi basi
 
Mchepuuuuuuuuuko
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka...eti ukamchukue aliyekosa mkopo jmn
 
pole sana but mi naona wewe ndo umemwendekeza...Mtaftie hata source of income na yeye aitolee hela jasho kdgo..and talk to her..akikuacha sawa ila ukipata mwingne usikurupuke tu kumpa hela utamzoesha na mawazo yake yatakua tu kwenye pesa. cant judge anything about your marriage...ila kubadili line haisadii cuz atakutafta tu na kukubembeleza and zoezi litaendelea ya kuchunwa..
 
Sina hakika kama kweli unaomba ushauli, ninacho kiona hapa mchepuko unaupenda kinachokushnda wewe kwa sasa nimatumizi ,kwani sisi wanaume mwanamke ukikaa nae siku mbili tuu utajua huyu ni wamlengo gani? sasa wewe ndugu mpaka umempangia nyumba umenunua samani, huyo ni mke wefanya juu chini uhudumie kama zamani ukiona huwezi kaa nae chini mweleze, sina tena uwezo wa kukuhudumia tafuta mwenyewe, lakini mara ufunge nyumba mala samani za ndani, umesahau nawe ulikua unapewa bila mshariti unaburudika, aaa sasa vyako unataka kuvizuia huo ni utoto huna uwezo achia wenzako waendereze ulipo ishia wewe, nahii ndiyo dunia.
 
wanaume wengi wanakuwa na viburi wakisha pata maendeleo na hela za kuwapa michepuka.hata wake zako wanawaona takataka.na kuwadharau.ila wako pata magojwa na wanaomba radhi .mungu akulaani
 
Sasa wewe unataka kula tu hutaki kuliwa hata kidogo? Hilo haliwezekani mkuu 'jk voice'[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] .
 
Correct, kwann unmyang'anye wakati na ww umemtumia? Wababa kuweni na huruma kisa wamama hawana jinsi ya kuwadai huduma zao walizowapa ndo muwaonee?amekutimizia ww mahitaji yako mara ngapi? Au ulikuwa unamhudumia bure huyo dadaako! Badilika
 
Hapana hauko sahihi kabisa unamkosea mkeo tena ikiwezekana mtake radhi ata vitabu vya dini vimeandika

Hapana hauko sahihi ongea vizur na mke wako ili mmalize tofauti zenu kabisa hiyo michepuko haifadhiliki kbs
 
I dont care maana hatuko vzr! Tumebaki kushirikiana kuhudumia watoto pekee
Na bado utachunwaaaa mpaka useme pooo,bado utengeneze na mkeo hyo hela unayotupa kwa mchepuko si ungefanya kitu cha maana kwa kushirikiana na mkeo!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…