Nikipona mchepuko anakula kibuti maana haridhiki

We fala nini acha kufananisha Mzazi wangu na vitu vya kipuuzi.. Kama unagawa si ukagawe huko kila tobo basi ni nini kuja kutusumbua watu wazima humu. Shubaamiti [emoji35][emoji35]
Fala wewe na mzazi wako mnaoona kuhonga ni kujipa umaskin mpuuzi mmoja wewe
 
Huyo mpya aliyekosa boom utakuta washaisafisha hiyo nyumba kwa kushirikiana na msela wake
 
Huyo piga chini haraka sana
Halafu chukua wa chuo mkali aliyekosa mkopo aisee utafaidi ila angalia asikunyonye sana maana anaweza akataka kila kitu kudadekiiii[emoji2] [emoji2]
 
Kweli wewe ni baba yenu..... Huyo mchepuko alikufanya kama baba yake anataka kila kitu.
 
Uko sahihi 100%, vinginevyo isingekuwa sahihi usingekuwa na mchepuko ungekomaa na mkeo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…