Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU
Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu
huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
[emoji114][emoji2969]
Ulimwoa bikira au usedUnatoka kazini jioni umechoka, unataman ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakin ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawil mbele dah!
Anza haka kamfumo kangu. Anza kula utokako. Ukifika oga lala mpaka kitapoanza kuwahishwaNishasema sana lakin wap[emoji114]
Mpe hata mdogo wako jamaa awe anajitafunia mdogo mdogo.Ohooooo !! Nishaolewa kitambo miyee!!
Dawa yake ni anza kumla mpishiUnatoka kazini jioni umechoka, unataman ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakin ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawil mbele dah!
Kwani ametaja jina lake hapo. Yani ndio maana waume zenu wanachepuka. Ndoa zimewashinda japo mko ndani ya nyumbaNi mwanaume asiyejielewa pekee anaweza kuanika udhaifu wa mke wake mtandaoni
Tujifunze, siri za ndani hazifai hata kufika sebuleni, tuzimalize ndani kwa ndani
Wanawake ni waelewa sana ukienda nao kwanza kwa kuwatibu kisaikolojia. Nenda nae taratibu, mweleweshe atakuelewa. Yamkini tabia hii alijijengea mwanzo mlipooana/kuanza kuishi pamoja na hukuikemea, akachukulia kama ndo lifestyle unayopendezwa nayo
Jifunze ulikosea wapi, then rekebisha makosa yako/Yenu
Tena hapa kwa sababu tupo mwisho wa mwaka, pangeni pamoja mipango yenu ya mwaka kesho, na hilo liwe moja ya ajenda yenu
Ova
Mapenzi yanamaana pana Sana,Je umeshawahi kumwambia kuwa hupendi anavyochelewa kupika? Hana mtoto mdogo anaesumbua?Unatoka kazini jioni umechoka, unataman ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakin ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawil mbele dah!
Tengenezeni ratiba muibandike ukutani jikoni inasaidia sanabora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU
Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu
huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
[emoji114][emoji2969]
Mkuu mzoea unayaweka wewe,, weka sheria mkuu Kama unatoka kazini target yako nyumbani ufike saa mbili usiku,, inabidi uweke sheria kuwa ikifika saa mbili kamili unataka chakula kiwepo mezani hivyo yaani maana bila sheria hawawatu saingine wanajifanya filamu ni ya muhimu kuliko MumeUnatoka kazini jioni umechoka, unataman ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakin ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawil mbele dah!
Duh pole Sana kumbe watu wana changamoto katika majumba yao ila wanaume bwana tuna Siri sanabora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU
Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu
huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
[emoji114][emoji2969]
Yaani nisusie nguvu yangu hahahaha huo ushauri sio mzuri kwakeZira kula boss ili umkomoe wife [emoji23]
Wengine wanapenda kuolewa ila kupika kwao nimtihani Sana,Mkuu mzoea unayaweka wewe,, weka sheria mkuu Kama unatoka kazini target yako nyumbani ufike saa mbili usiku,, inabidi uweke sheria kuwa ikifika saa mbili kamili unataka chakula kiwepo mezani hivyo yaani maana bila sheria hawawatu saingine wanajifanya filamu ni ya muhimu kuliko Mume
Sasa msaada wake kwa Mume ni nini mtu aina hiyo?Wengine wanapenda kuolewa ila kupika kwao nimtihani Sana,