Nikisema Uongozi wa Simba SC ni wa Kihuni na wa Yanga SC unajitambua mnanichukia, haya malizeni na la Awesu Awesu

Nikisema Uongozi wa Simba SC ni wa Kihuni na wa Yanga SC unajitambua mnanichukia, haya malizeni na la Awesu Awesu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na kwa taarifa yenu kuna ya Wachezaji wengine akina Kagoma na Mashaka nao huko walikotoka Vilabu vyao Vimelalamika TFF na Wao watashinda Kesi kama ilivyoshinda KMC.

Najua mtamalizana nao hawa Leo kabla ya Dirisha la Usajili kufungwa rasmi Kesho Saa 5 na dakika 59, ila hiki Kitendo kinatosha Kuonyesha kuwa Simba SC haina tu shida kwa upande wa Wachezaji walionao kwa sasa ( wa hovyo hovyo ) lakini pia hata Uongozi wa Simba SC nao pia ni wa hovyo hovyo.

Timu inayojitambua kamwe haiwezi kuwa na Upuuzi na Uhuni wa aina hii hasa katika Karne hii ya Kimaendeleo na inayohitaji Umakini na Uweledi wa Kiutendaji.

Ukiona GENTAMYCINE nakusema au nakusakama sana jua nimeshakuona una matatizo, uswahili na hata Upumbavu ( Upopoma ) mwingi tu.

Imeisha hiyo.....!!
 
Kagoma kashinda kesi ni mchezaji wa Simba, Mashaka bado haijajulikana maamuzi yatakuaje
Mpaka muda huu naandika hii Post Kwako ni kwamba la Kagoma bado kama ambavyo hata la Mashaka nalo bado. Acha tafadhali Kubishana na Mimi. Najua Simba SC watamalizana nao kwakuwa wana Uhitaji nao ila Kilio changu ni kwanini Klabu ya Simba hasa Uongozi una huu Uhuni, Uswahili na Upumbavu usiovumilika Kiutendaji?
 
Nadhani aliyekuwa mkurugenzi ndiye amefanya haya. Hatujawahi kuyaona haya huko nyuma. Alikuwepo Senzo hatukuona, akaja Barbra hatukuona haya.

Nadhani wakurugenzi wa kitanzania wapo na shida somewhere. Wanataka 10% katika kila jambo.
 
SImba FC inasikitisha mno, bado ina safari ndefu, usajili mbovu umejaa udalali, hawataki kusajili wachezaji wazuri wa gharama. Yani janjajanja imetawala
Halafu bado kuna Wapumbavu wanaona Tajiri Kibyongo Samjo Panjuani anafanya la maana Klabuni wakati hakuna anachokifanya zaidi tu ya Usanii na kutufanya Mashabiki wao ni Wapumbavu / Mapopoma.
 
Nadhani aliyekuwa mkurugenzi ndiye amefanya haya. Hatujawahi kuyaona haya huko nyuma. Alikuwepo Senzo hatukuona, akaja Barbra hatukuona haya.

Nadhani wakurugenzi wa kitanzania wapo na shida somewhere. Wanataka 10% katika kila jambo.
Nadhani Imani Kajula CEO aliyemaliza muda wake kwa Makusudi kabisa kaamua Kutupigisha Shoti Simba SC ili Kutukomoa kwani hili ni lake 100%
 
Halafu bado kuna Wapumbavu wanaona Tajiri Kibyongo Samjo Panjuani anafanya la maana Klabuni wakati hakuna anachokifanya zaidi tu ya Usanii na kutufanya Mashabiki wao ni Wapumbavu / Mapopoma.
Tajiri anachoangalia ni biashara zake kwenda anavyotaka, masuala ya matokeo ya Simba uwanjani kawaachia mashabiki watajua wenyewe🤣
 
Nadhani Imani Kajula CEO aliyemaliza muda wake kwa Makusudi kabisa kaamua Kutupigisha Shoti Simba SC ili Kutukomoa kwani hili ni lake 100%
Kuwa na CEO au kocha kutoka Tanzania ni tatizi sana. Just imagin
1. Kibu Denis shida
2. Awesu Shida
3. Mashaka Shida
4. Manura
Na yule wa coastal ndani ya muda mfupi timu inakuwa na migogoro na wachezaji zaidi ya watano. Simba haijawahi kuwa na migogoro namna hii. Tangu nianze kufuatilia football.


Kajula is behind these
 
Halafu bado kuna Wapumbavu wanaona Tajiri Kibyongo Samjo Panjuani anafanya la maana Klabuni wakati hakuna anachokifanya zaidi tu ya Usanii na kutufanya Mashabiki wao ni Wapumbavu / Mapopoma.
Tajiri utamsingizia tu bure.

Yeye siyo mtendaji. CEO ndiye mtendaji mkuu. Hatujaona issues hizo kwa Senzo, hatujaona kwa Barbra na tajiri alikuwa huyu huyu. Hajabadilika.
 
Na kwa taarifa yenu kuna ya Wachezaji wengine akina Kagoma na Mashaka nao huko walikotoka Vilabu vyao Vimelalamika TFF na Wao watashinda Kesi kama ilivyoshinda KMC.

Najua mtamalizana nao hawa Leo kabla ya Dirisha la Usajili kufungwa rasmi Kesho Saa 5 na dakika 59, ila hiki Kitendo kinatosha Kuonyesha kuwa Simba SC haina tu shida kwa upande wa Wachezaji walionao kwa sasa ( wa hovyo hovyo ) lakini pia hata Uongozi wa Simba SC nao pia ni wa hovyo hovyo.

Timu inayojitambua kamwe haiwezi kuwa na Upuuzi na Uhuni wa aina hii hasa katika Karne hii ya Kimaendeleo na inayohitaji Umakini na Uweledi wa Kiutendaji.

Ukiona GENTAMYCINE nakusema au nakusakama sana jua nimeshakuona una matatizo, uswahili na hata Upumbavu ( Upopoma ) mwingi tu.

Imeisha hiyo.....!!
Simba ina changamoto kubwa sana bado kuna ujanja ujanja wa viongozi
 
Na kwa taarifa yenu kuna ya Wachezaji wengine akina Kagoma na Mashaka nao huko walikotoka Vilabu vyao Vimelalamika TFF na Wao watashinda Kesi kama ilivyoshinda KMC.

Najua mtamalizana nao hawa Leo kabla ya Dirisha la Usajili kufungwa rasmi Kesho Saa 5 na dakika 59, ila hiki Kitendo kinatosha Kuonyesha kuwa Simba SC haina tu shida kwa upande wa Wachezaji walionao kwa sasa ( wa hovyo hovyo ) lakini pia hata Uongozi wa Simba SC nao pia ni wa hovyo hovyo.

Timu inayojitambua kamwe haiwezi kuwa na Upuuzi na Uhuni wa aina hii hasa katika Karne hii ya Kimaendeleo na inayohitaji Umakini na Uweledi wa Kiutendaji.

Ukiona GENTAMYCINE nakusema au nakusakama sana jua nimeshakuona una matatizo, uswahili na hata Upumbavu ( Upopoma ) mwingi tu.

Imeisha hiyo.....!!
Hii ndo maana halisi ya UBAYA UBWELA
 
Mpaka muda huu naandika hii Post Kwako ni kwamba la Kagoma bado kama ambavyo hata la Mashaka nalo bado. Acha tafadhali Kubishana na Mimi. Najua Simba SC watamalizana nao kwakuwa wana Uhitaji nao ila Kilio changu ni kwanini Klabu ya Simba hasa Uongozi una huu Uhuni, Uswahili na Upumbavu usiovumilika Kiutendaji?
Swali zuri Sana Genta. Viongozi wa Simba wanafanya hivi Kwa sababu ya ujinga wao kufungwa mkono na mashabiki. Kumejitokeza mashabiki wanounga mkono uhuni wa kuwapa Wachezaji mil.50 ili wakavunje Mikataba wakati kuna kipengele cha kuuzwa mil.200. Kiongozi mbovu kuliko wote ni mwanasheria wa Simba, huyu ni Zwazawa kabisa na hapaswi kuendelea kuwapo ofisini. Mwanasheria unashondwaje kujua mazingira yapi yanaruhusu Buyout clause na yapi yanaruhusu Release clause?
 
Swali zuri Sana Genta. Viongozi wa Simba wanafanya hivi Kwa sababu ya ujinga wao kufungwa mkono na mashabiki. Kumejitokeza mashabiki wanounga mkono uhuni wa kuwapa Wachezaji mil.50 ili wakavunje Mikataba wakati kuna kipengele cha kuuzwa mil.200. Kiongozi mbovu kuliko wote ni mwanasheria wa Simba, huyu ni Zwazawa kabisa na hapaswi kuendelea kuwapo ofisini. Mwanasheria unashondwaje kujua mazingira yapi yanaruhusu Buyout clause na yapi yanaruhusu Release clause?
Sasa mwana Yanga SC yoyote akituita Sisi wana Simba SC ni Wapumbavu ( Mapopoma ) wala sitobisha na nitakubali.
 
Back
Top Bottom