Nikishafanya ngono na mwanamke hamu ya kuendeleza mahusiano inakatika

Nikishafanya ngono na mwanamke hamu ya kuendeleza mahusiano inakatika

socket

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
305
Reaction score
433
Kiukweli niko kwenye mahusiano serious na mwanamke mmoja ambaye ni mzuri sana tuu lakini pia kuna michepuko ambayo nayo ni pisi kali.

Ishu ni kwamba huwa kuna vibinti vya kawaida tuu tena sana lakini baadhi wa wanaume ukishaanza kukatania kwa nia ya kukala basi mzuka unaongezeka na utafanya juu chini mpaka unakagonga.

Ila baada ya lile tendo unakuta huna hata hamu ya kukajulia hali labda yeye ndio awe anakutafuta.

Hii inanitokea mara nyingi sana.
 
Kiukweli niko kwenye mahusiano serious na mwanamke mmoja ambaye ni mzuri sana tuu lakini pia kuna michepuko ambayo nayo ni pisi kali.
Ishu ni kwamba huwa kuna vibinti vya kawaida tuu tena sana lakini baadhi wa wanaume ukishaanza kukatania kwa nia ya kukala basi mzuka unaongezeka na utafanya juu chini mpaka unakagonga.
Ila baada ya lile tendo unakuta huna hata hamu ya kukajulia hali labda yeye ndio awe anakutafuta.
Hii inanitokea mara nyingi sana.
Umri wako na swali havifanani... Ngoja ufikie utu uzima utaelewa...
 
Ukishamgonga demu ,,,swala la shepu ,umbo ,Tako ,chuchu saa sita vinakuwa havina ushawishi Tena ....hapa tabia ya huyo mwanamke ndio itakufanya kuendelee kuishi nae au kumpiga chini ......hili wanawake wengi hawalijui ....

Hapa ndio kauli ya "mwanamke ni tabia " inapochukua nafasi
 
Ukishamgonga demu ,,,swala la shepu ,umbo ,Tako ,chuchu saa sita vinakuwa havina ushawishi Tena ....hapa tabia ya huyo mwanamke ndio itakufanya kuendelee kuishi nae au kumpiga chini ......hili wanawake wengi hawalijui ....


Hapa ndio kauli ya "mwanamke ni tabia " inapochukua nafasi
Mkuu, hili tamko lipigwe lamination kabisa, umeongea reality
 
Kiukweli niko kwenye mahusiano serious na mwanamke mmoja ambaye ni mzuri sana tuu lakini pia kuna michepuko ambayo nayo ni pisi kali.
Ishu ni kwamba huwa kuna vibinti vya kawaida tuu tena sana lakini baadhi wa wanaume ukishaanza kukatania kwa nia ya kukala basi mzuka unaongezeka na utafanya juu chini mpaka unakagonga.
Ila baada ya lile tendo unakuta huna hata hamu ya kukajulia hali labda yeye ndio awe anakutafuta.
Hii inanitokea mara nyingi sana.
Mtu angekuka na jibu ya hii kitu kwa kweli nitampa mil 10. Yaani sijui kuna siri gani kwenye hizi shahawa.....ukishamkojolea demu mara tatu basi ndio unaanza kuona kumbe tako lake limepinda...mara sijui kumbe titi moja kubwa kuliko lingine. Shida tupu
 
Mkuu mwenyewe nilipokuwa kwenye early twenties ilikuwa hivi, yani nikimlala mwanamke ndio ntajua sasa niendelee nae au la maana hapo nakuwa naangalia sana personality yake cos mwonekano wake unakuwa hauna ushawishi tena
 
Show mbovu itakua,
Kuna show ukipewa kama ulipanga kuhit&run

Inageuka kua hit&trapped
Hapana bro kuendelea kumpenda ni tabia tu ila uzuri unamuona kawaida tayar wangapi wakiwagonga wanakimbia ndo unakuta demu mkali ni single mother jamaa yake kasepa
 
Tubinti tunatoa huduma muhimu sana lakini kila siku munatuanzishia nyuzi za kuviponda kama vile hampangani kumwagia ndani ya vipochi manyoya vyao vyenye joto la uhakika
 
Back
Top Bottom