Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko wengi ,si bora wewe hata unafanya kabisa,mimi nikiwa naenda kufanya nikaona demu mkali kuliko niliyempanga huwa hamu inakata na naleta excuse afu nampotezea.Kiukweli niko kwenye mahusiano serious na mwanamke mmoja ambaye ni mzuri sana tuu lakini pia kuna michepuko ambayo nayo ni pisi kali.
Ishu ni kwamba huwa kuna vibinti vya kawaida tuu tena sana lakini baadhi wa wanaume ukishaanza kukatania kwa nia ya kukala basi mzuka unaongezeka na utafanya juu chini mpaka unakagonga.
Ila baada ya lile tendo unakuta huna hata hamu ya kukajulia hali labda yeye ndio awe anakutafuta.
Hii inanitokea mara nyingi sana.
Unataka awapende ili wamtende🤣🤣🤣🤣🤣Unawatamani huwapendi
Hakika[emoji4]Huyo demu uliyemgonga hana tako na sio fundi kitandani ndio maana umemtupa.
Mfano mzuri ampate Kama mamaJ wangu.Huyo demu uliyemgonga hana tako na sio fundi kitandani ndio maana umemtupa.
Wanatendana!!!Unataka awapende ili wamtende🤣🤣🤣🤣🤣