Umri wako na swali havifanani... Ngoja ufikie utu uzima utaelewa...Kiukweli niko kwenye mahusiano serious na mwanamke mmoja ambaye ni mzuri sana tuu lakini pia kuna michepuko ambayo nayo ni pisi kali.
Ishu ni kwamba huwa kuna vibinti vya kawaida tuu tena sana lakini baadhi wa wanaume ukishaanza kukatania kwa nia ya kukala basi mzuka unaongezeka na utafanya juu chini mpaka unakagonga.
Ila baada ya lile tendo unakuta huna hata hamu ya kukajulia hali labda yeye ndio awe anakutafuta.
Hii inanitokea mara nyingi sana.
Mkuu, hili tamko lipigwe lamination kabisa, umeongea realityUkishamgonga demu ,,,swala la shepu ,umbo ,Tako ,chuchu saa sita vinakuwa havina ushawishi Tena ....hapa tabia ya huyo mwanamke ndio itakufanya kuendelee kuishi nae au kumpiga chini ......hili wanawake wengi hawalijui ....
Hapa ndio kauli ya "mwanamke ni tabia " inapochukua nafasi
Mtu angekuka na jibu ya hii kitu kwa kweli nitampa mil 10. Yaani sijui kuna siri gani kwenye hizi shahawa.....ukishamkojolea demu mara tatu basi ndio unaanza kuona kumbe tako lake limepinda...mara sijui kumbe titi moja kubwa kuliko lingine. Shida tupuKiukweli niko kwenye mahusiano serious na mwanamke mmoja ambaye ni mzuri sana tuu lakini pia kuna michepuko ambayo nayo ni pisi kali.
Ishu ni kwamba huwa kuna vibinti vya kawaida tuu tena sana lakini baadhi wa wanaume ukishaanza kukatania kwa nia ya kukala basi mzuka unaongezeka na utafanya juu chini mpaka unakagonga.
Ila baada ya lile tendo unakuta huna hata hamu ya kukajulia hali labda yeye ndio awe anakutafuta.
Hii inanitokea mara nyingi sana.
Inatoka wapi hii roho na tunaizuiaje?Kemea roho ya,"Hit and run".
Kuhusu inatoka wapi sijui,Inatoka wapi hii roho na tunaizuiaje?
Hapana bro kuendelea kumpenda ni tabia tu ila uzuri unamuona kawaida tayar wangapi wakiwagonga wanakimbia ndo unakuta demu mkali ni single mother jamaa yake kasepaShow mbovu itakua,
Kuna show ukipewa kama ulipanga kuhit&run
Inageuka kua hit&trapped
Unachanganya madesa mkuuHapana bro kuendelea kumpenda ni tabia tu ila uzuri unamuona kawaida tayar wangapi wakiwagonga wanakimbia ndo unakuta demu mkali ni single mother jamaa yake kasepa