Nikishafanya ngono na mwanamke hamu ya kuendeleza mahusiano inakatika

Nimewasoma wote, ila professionals hawazidi watatu.
 
Tuko wengi ,si bora wewe hata unafanya kabisa,mimi nikiwa naenda kufanya nikaona demu mkali kuliko niliyempanga huwa hamu inakata na naleta excuse afu nampotezea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…