Nikishikaga simu ya mtu Cha kwanza kabisa naendaga chrome history

Nikishikaga simu ya mtu Cha kwanza kabisa naendaga chrome history

Wadada hawanaga hizo na ni wajanja wachache tu tunatumia incognito... Naitumia zaidi pale nitumiapo simu au pc isiyokua yangu
Pia madem huona,lakini chini ya maji,lakini maboy ndo wao uona sana compared na madem,but that doesn't make em holy ni wachafu tu like us
 
Naona TU mnavyonisimanga yesu akasema asiye na tabia hio awe wa kwanza kumpiga jiwe ndege john.mafarisayo wakaondoka huku wameinama kichwa chini
Hahahaaa chizi sana wewe.. mimi ningekupiga mawe tu sikuwepo na hao mafarisayo ... ningekupiga mawe kwa sababu tabia hiyo sina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukinipa simu yako niishike au niikuta simu ya mtu yoyote huwa naelekea chrome history kuona huyu mtu atakuwa Ana search vitu gani.mara nyingi nachokitafuta Ni kujua Kama huwa anaangalia video zetu zile za ngono.katika utafiti wangu huo wa kimya kimya niliouanza mwaka juzi nimegundua 80% ya smartphone zote nilizochungulia watu wake hutazama site mbili maarufu www.xnxx.com na www.xvideos.com ..nikishamaliza huo umbea wangu huwa namfikiria mtu kivingine kabisa..Kama Ni kijana wa kiume Basi akiwa anatazama x lazima tu kwa namna yoyote atakuwa mwanachama wa CHAPUTA.kwa wanawake ndo sijajua wanatazama ili iweje.kama mpo na humu jf mnaongalia hayo mapilau acheni Mara moja kwa sababu nimeshajua Kipi kinafuata mkishatazama.nimewashtukia wote mawazo ya mwanadamu siku zote huwa mabaya tu.
Umenifanya niangalie history sasa hivi kujiridhisha na yaliyomo
Screenshot_2019-02-21-22-17-54.jpeg
 
New incognito tab inahusika haisave history, nikihitaji kusearch mambo yangu ya siri ndio naitumia hiyo
 
leo nimeshusha material ya zaidi ya 2Gb bando la chuo, mida mida naanza kuziangalia zote
Duhh nilikuwa na jamaa yangu akiaanza kuayapakua hayo mavitu daah ni noma enzi hizo moderm ndio zimeingia zilikuwa zinauzwa 99K ....

basi akisha yapakua anajigungia ndani na pc yake akianza kuyatazama hatoki nje kutwa nzima hata chakula kikiiva anawaambia kwamba wasimuite eti anafanya assignment " My foot ..kumbe anazitazama halafu akipata mzuka anajipiga selfie ..alikuwa anapenda kutazama hayo mavitu kiasi kwamba mpaka wale ma -porn stars wote alikuwa anawajua majina yao na life styles zao

Akimaliza hapo utamuona huyo anakimbilia bafuni kwenda kuoga ..akitoka huko ananiambia hearly hapa sasa nipo mwepesi kabisa kama nyoya la kuku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha form two/three ndio nilikua naangalia hayoo mambo!

Sasa hivi niangalie ili iweje,nikiwa na kiraru naita bebee napiga show kwa kwenda mbereee!

Wakati uko form three kulikuwa Na smartphone?

Kweli humu Sie wengine Ni Kina Kapuya kabisa
 
Wakati uko form three kulikuwa Na smartphone?

Kweli humu Sie wengine Ni Kina Kapuya kabisa
Japo mleta mada amezungumzia kwenye simu lakini mi nazungumzia kuhusu kuangalia porn!

Ina maana wewe porn umeanza kuziangalia baada ya kuingia kwa smart phone?
 
Ukinipa simu yako niishike au niikuta simu ya mtu yoyote huwa naelekea chrome history kuona huyu mtu atakuwa Ana search vitu gani.mara nyingi nachokitafuta Ni kujua Kama huwa anaangalia video zetu zile za ngono.katika utafiti wangu huo wa kimya kimya niliouanza mwaka juzi nimegundua 80% ya smartphone zote nilizochungulia watu wake hutazama site mbili maarufu www.xnxx.com na www.xvideos.com ..nikishamaliza huo umbea wangu huwa namfikiria mtu kivingine kabisa..Kama Ni kijana wa kiume Basi akiwa anatazama x lazima tu kwa namna yoyote atakuwa mwanachama wa CHAPUTA.kwa wanawake ndo sijajua wanatazama ili iweje.kama mpo na humu jf mnaongalia hayo mapilau acheni Mara moja kwa sababu nimeshajua Kipi kinafuata mkishatazama.nimewashtukia wote mawazo ya mwanadamu siku zote huwa mabaya tu.
Daah haya mambo mkuu kuna siku meangalia chrome history ya anaejiita mpenzi wangu nikakuta mambo ya pornhub nilisikitika sana nikaanza jiuliza huyu anaangalia haya mambo ili iweje au na yeye anajichua sijapata jibu mpaka leo
 
Japo mleta mada amezungumzia kwenye simu lakini mi nazungumzia kuhusu kuangalia porn!

Ina maana wewe porn umeanza kuziangalia baada ya kuingia kwa smart phone?

Mie wakati nipo form three ilikuwa Ni kosa la jinai kumiliki fridge sembuse TV!

Kunywa Maji ilikuwa Ni mwendo wa kuchovya Kikombe Kwenye Mitungi Kama tunatambika vile

Tumetoka mbali Sana kwa Kweli
 
Back
Top Bottom