Nikitaka kuoa nitaoa Mwanamke wa Kiislamu. Hii dini haina ubaguzi na haina njaa njaa kwenye kuoa

Nikitaka kuoa nitaoa Mwanamke wa Kiislamu. Hii dini haina ubaguzi na haina njaa njaa kwenye kuoa

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Nasema hivi watu wenye furaha na amani katika kuishi ndoa ni waislamu peke yao kwanza mwanamke na mwanaume wote wanaandaliwa kiakili, busara na hekima za kuishi maisha ya ndoa.

Dini nzuri hii pia inawaongoza wazazi na watoto vema waislamu hawana masharti ya umri katika kuoa hasa hasa kama umri stahiki umefikiwa, mfano miaka 14, 18, na kuendelea, iko hivi unaweza mwanaume ukawa na miaka 50 ila familia ya Mwanamke ikakubali uoe Binti wa miaka 18, 20.

Sasa njoo kwa hawa akina nguchiro na Zakayo wao wee kelele za kushamba na Uzuzu nyingi kama midomo ya nzi utasikia hivi umekosa wanaume mpaka uolewe na huyo mbaba, huko kibabu.

Fyuu dini la hovyo ndiomana ndoa zao amani sufuri yaani akina Zakayo wanataka kuishi maagano ya Mungu kwa akili zao.

Ndiomana siku ya kuoa au kuolewa yenyewe yanaona yametoboa kumbe ndio kwanza wanaingia katika maisha ya ibada.

Kwenye ukristo hakuna ndoa kuna vioja na maigizo.

Anaejitambua angalau Mwamposa na Rolinga, wale kweli unaona ni watu wa Mungu.

Moslem women are the best choice for marriage.

Povu ruksa mpauko ruksa ukitoa povu angalia pia umepauko.

P ang Fung Mi
 
Nasema hivi watu wenye furaha na amani katika kuishi ndoa ni waislamu peke yao kwanza mwanamke na mwanaume wote wanaandaliwa kiakili, busara na hekima za kuishi maisha ya ndoa.

Dini nzuri hii pia inawaongoza wazazi na watoto vema waislamu hawana masharti ya umri katika kuoa hasa hasa kama umri stahiki umefikiwa, mfano miaka 14, 18, na kuendelea, iko hivi unaweza mwanaume ukawa na miaka 50 ila familia ya Mwanamke ikakubali uoe Binti wa miaka 18, 20.

Sasa njoo kwa hawa akina nguchiro na Zakayo wao wee kelele za kushamba na Uzuzu nyingi kama midomo ya nzi utasikia hivi umekosa wanaume mpaka uolewe na huyo mbaba, huko kibabu.

Fyuu dini la hovyo ndiomana ndoa zao amani sufuri yaani akina Zakayo wanataka kuishi maagano ya Mungu kwa akili zao.

Ndiomana siku ya kuoa au kuolewa yenyewe yanaona yametoboa kumbe ndio kwanza wanaingia katika maisha ya ibada.

Kwenye ukristo hakuna ndoa kuna vioja na maigizo.

Anaejitambua angalau Mwamposa na Rolinga, wale kweli unaona ni watu wa Mungu.

Moslem women are the best choice for marriage.

Povu ruksa mpauko ruksa ukitoa povu angalia pia umepauko.

P ang Fung Mi
Tafuta hela, maisha hayana mserereko
 
Nasema hivi watu wenye furaha na amani katika kuishi ndoa ni waislamu peke yao kwanza mwanamke na mwanaume wote wanaandaliwa kiakili, busara na hekima za kuishi maisha ya ndoa.

Dini nzuri hii pia inawaongoza wazazi na watoto vema waislamu hawana masharti ya umri katika kuoa hasa hasa kama umri stahiki umefikiwa, mfano miaka 14, 18, na kuendelea, iko hivi unaweza mwanaume ukawa na miaka 50 ila familia ya Mwanamke ikakubali uoe Binti wa miaka 18, 20.

Sasa njoo kwa hawa akina nguchiro na Zakayo wao wee kelele za kushamba na Uzuzu nyingi kama midomo ya nzi utasikia hivi umekosa wanaume mpaka uolewe na huyo mbaba, huko kibabu.

Fyuu dini la hovyo ndiomana ndoa zao amani sufuri yaani akina Zakayo wanataka kuishi maagano ya Mungu kwa akili zao.

Ndiomana siku ya kuoa au kuolewa yenyewe yanaona yametoboa kumbe ndio kwanza wanaingia katika maisha ya ibada.

Kwenye ukristo hakuna ndoa kuna vioja na maigizo.

Anaejitambua angalau Mwamposa na Rolinga, wale kweli unaona ni watu wa Mungu.

Moslem women are the best choice for marriage.

Povu ruksa mpauko ruksa ukitoa povu angalia pia umepauko.

P ang Fung Mi
Wavumilivu
 
Nasema hivi watu wenye furaha na amani katika kuishi ndoa ni waislamu peke yao kwanza mwanamke na mwanaume wote wanaandaliwa kiakili, busara na hekima za kuishi maisha ya ndoa.

Dini nzuri hii pia inawaongoza wazazi na watoto vema waislamu hawana masharti ya umri katika kuoa hasa hasa kama umri stahiki umefikiwa, mfano miaka 14, 18, na kuendelea, iko hivi unaweza mwanaume ukawa na miaka 50 ila familia ya Mwanamke ikakubali uoe Binti wa miaka 18, 20.

Sasa njoo kwa hawa akina nguchiro na Zakayo wao wee kelele za kushamba na Uzuzu nyingi kama midomo ya nzi utasikia hivi umekosa wanaume mpaka uolewe na huyo mbaba, huko kibabu.

Fyuu dini la hovyo ndiomana ndoa zao amani sufuri yaani akina Zakayo wanataka kuishi maagano ya Mungu kwa akili zao.

Ndiomana siku ya kuoa au kuolewa yenyewe yanaona yametoboa kumbe ndio kwanza wanaingia katika maisha ya ibada.

Kwenye ukristo hakuna ndoa kuna vioja na maigizo.

Anaejitambua angalau Mwamposa na Rolinga, wale kweli unaona ni watu wa Mungu.

Moslem women are the best choice for marriage.

Povu ruksa mpauko ruksa ukitoa povu angalia pia umepauko.

P ang Fung Mi
.naona baada ya kuskia ruksa kuoa kabint ka miaka 9 umeona Bora ulale vitu vilaini ,sasa nakupa taadhar tz utafupigwa miaka 30a au maisha prison...acha tamaa jambi
 
Nasema hivi watu wenye furaha na amani katika kuishi ndoa ni waislamu peke yao kwanza mwanamke na mwanaume wote wanaandaliwa kiakili, busara na hekima za kuishi maisha ya ndoa.

Dini nzuri hii pia inawaongoza wazazi na watoto vema waislamu hawana masharti ya umri katika kuoa hasa hasa kama umri stahiki umefikiwa, mfano miaka 14, 18, na kuendelea, iko hivi unaweza mwanaume ukawa na miaka 50 ila familia ya Mwanamke ikakubali uoe Binti wa miaka 18, 20.

Sasa njoo kwa hawa akina nguchiro na Zakayo wao wee kelele za kushamba na Uzuzu nyingi kama midomo ya nzi utasikia hivi umekosa wanaume mpaka uolewe na huyo mbaba, huko kibabu.

Fyuu dini la hovyo ndiomana ndoa zao amani sufuri yaani akina Zakayo wanataka kuishi maagano ya Mungu kwa akili zao.

Ndiomana siku ya kuoa au kuolewa yenyewe yanaona yametoboa kumbe ndio kwanza wanaingia katika maisha ya ibada.

Kwenye ukristo hakuna ndoa kuna vioja na maigizo.

Anaejitambua angalau Mwamposa na Rolinga, wale kweli unaona ni watu wa Mungu.

Moslem women are the best choice for marriage.

Povu ruksa mpauko ruksa ukitoa povu angalia pia umepauko.

P ang Fung Mi
Kwa akili zako kama shoga nenda kaoe huko huko...Huku hamna atakayekukubali na ujinga wako huo uliojaa kichwani
 
Nasema hivi watu wenye furaha na amani katika kuishi ndoa ni waislamu peke yao kwanza mwanamke na mwanaume wote wanaandaliwa kiakili, busara na hekima za kuishi maisha ya ndoa.
Upo sahihi kabisa mkuu. Binafsi sijawahi kamwe kusikia ndoa ya kiislamu imevunjika au wamepeana talaka au kumetokea mgogoro wowote.
 
Ndoa za mitala zinachangia kuongezeka kwa maambukizi ya UKIMWI.

Muislam anatakiwa kuoa mke mmoja tu.
Labda wewe ndo unasema tunatakiwa, ila ukisema waislam hiyo inamaanisha kitabu chetu kinachotuongoza kinasema tuoe kuanzia wawili Hadi wanne mwisho, hivyo ni wewe ndo unataka tuoe mmoja si Dini ya yetu ya haqi, angalia wanaume wengi wanakiri hawawezi kuwa na Mwanamke mmoja na hayo ndiyo maumbile Sahihi, dini ikahalalisha kuoa zaidi ya mke mmoja Ili kutimiza maumbile pia watoto kutambulika rasmi bila mbambamba na konakona.
 
Wewe sema huna pesa unataka ndoa za bei rahisi... Unataka mwanamke wa bei rahisi...

Anyways ndoa ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani na kupoteza muda
 
Nasema hivi watu wenye furaha na amani katika kuishi ndoa ni waislamu peke yao kwanza mwanamke na mwanaume wote wanaandaliwa kiakili, busara na hekima za kuishi maisha ya ndoa.

Dini nzuri hii pia inawaongoza wazazi na watoto vema waislamu hawana masharti ya umri katika kuoa hasa hasa kama umri stahiki umefikiwa, mfano miaka 14, 18, na kuendelea, iko hivi unaweza mwanaume ukawa na miaka 50 ila familia ya Mwanamke ikakubali uoe Binti wa miaka 18, 20.

Sasa njoo kwa hawa akina nguchiro na Zakayo wao wee kelele za kushamba na Uzuzu nyingi kama midomo ya nzi utasikia hivi umekosa wanaume mpaka uolewe na huyo mbaba, huko kibabu.

Fyuu dini la hovyo ndiomana ndoa zao amani sufuri yaani akina Zakayo wanataka kuishi maagano ya Mungu kwa akili zao.

Ndiomana siku ya kuoa au kuolewa yenyewe yanaona yametoboa kumbe ndio kwanza wanaingia katika maisha ya ibada.

Kwenye ukristo hakuna ndoa kuna vioja na maigizo.

Anaejitambua angalau Mwamposa na Rolinga, wale kweli unaona ni watu wa Mungu.

Moslem women are the best choice for marriage.

Povu ruksa mpauko ruksa ukitoa povu angalia pia umepauko.

P ang Fung Mi
Acha fujo na mikelele.Wewe eleza tu huna mahari wala mahela ya kufanyia sherehe ya harusi.Sura imehorojeka na mabibie wanakukacha.Omba pooh!
 
Back
Top Bottom