Nikitaka kuoa nitatembea nae kwanza kisha ntampima kwa maadili, heshima na ubunifu

Nikitaka kuoa nitatembea nae kwanza kisha ntampima kwa maadili, heshima na ubunifu

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Habari zenu wadau!

Ikitokea naondoka kwenye chama cha mabaharia na wala bata Tanzania na kusaliti kwa kufanya ufala wa kuoa basi potelea mbali kwanza nitatembea nae vya kutosha, pia ntamfanyia interview na uchunguzi wa maeneo matatu ya msingi nayo ni.
1. Maadili
2. Heshima
3. Ubunifu

Mengine ongezeeni kama yapo. Ndoto za alinacha si nongwa kuzihadithia na kuzisema kinadharia.

Ni hayo tu shukrani 🙏🙏🙏
 
Wanasemaga Mungu fundi ngoja aje akupe toto kwanza likufyatue akili.. from no where pruuuu upate mke tu bila hata kupita kwa Wana wa Israel...!!😂😂
 
Wanasemaga Mungu fundi ngoja aje akupe toto kwanza likufyatue akili.. from no where pruuuu upate mke tu bila hata kupita kwa Wana wa Israel...!!😂😂
Daah acha baharia kuna demu nimemuona jana 88 mkoa fulani dadeki demu fulani Tupwisa Tupwisa halafu ana height moja kali sana
 
Dini inakukataza, Ni dhambi.
Kuna siku nilikuwa namnyandua demu sauti tumboni kwake inatoka kama ya mlio wa ngoma, nikajua nimenyandua demu ambae katoka kutoa puto la uzazi ndani ya wiki kadhaa katoa mimba, mashine Tamu na inabana vizuri ila Ile sauti ilinikera sana
 
Back
Top Bottom