Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Very easy kabisa.You see, it's easy if you understand the game, haha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very easy kabisa.You see, it's easy if you understand the game, haha
Sometimes huwa mnakosea, we only want to be friends then booom mtu analeta mambo ya kiwaki!!Hakikisha unamvutia hadi aanze kukutafuta yeye.
Dipresheni ina dipresheni.Leo asubuhi nimekutana na pisi moja kali mno sijawahi shuhudia kwa miaka mingi, ile pisi ni kali haswa 🙆♂
Kwenye huo urafiki ndio penyewe sasa, wachache niliorafikiana nao tumeishia dhambini.Sometimes huwa mnakosea, we only want to be friends then booom mtu analeta mambo ya kiwaki!!
Mnakosea sana aisee, mnafanya tupoteze marafiki wema sana.Kwenye huo urafiki ndio penyewe sasa, wachache niliorafikiana nao tumeishia dhambini.
Wanataka wenyewe, mi nipo hivi.. Mfano nikichukua namba tukazoeana nkatuma maombi ni mara chache sana majibu kuwa mazuri ila nikipitia kwenye urafiki wa mbali mambo huwa ni safi kabisa hata sihangaiki kutuma maombi.Mnakosea sana aisee, mnafanya tupoteze marafiki wema sana.
We jau sanaHakikisha unamvutia hadi aanze kukutafuta yeye. Leo asubuhi nimekutana na pisi moja kali mno sijawahi shuhudia kwa miaka mingi, ile pisi ni kali haswa 🙆♂
Udomo zegeMimi pia nimekwisha kutana na mazingira hayo, sijui nikwanini.
Kumbe ndio walivyo hawa kenge.....dah leo nimepata somo kubwa sana. So wee jidahi huna time nae au sioUsipolijua hili lazime uteseke na hawa viumbe.
Binafsi nikishamuelewa mrembo hua namfata face to face nitamsifia na kumuonyesha kua nimemuelewa, kinachafata ni kuomba tu namba huku akijua dhamiri yangu ya kutaka namba yake, akinipea tu namba hio ndio green light ya kunikubali, na mambo ya kubebishana huaga sina mpaka nikishakula mzigo ndio kidogo nitaanza kumzingatia.
Demu akishaanza kuleta sitaki nataka hua napiga zangu tu kimya, kama atakua kanielewa basi yeye ndie ataanza kushoboka.
Hivi viumbe ukivipa attention sana ndio kama vile unakua anajiweka mbali navyo.
Kwann mkuuWe jau sana
BravoUsipolijua hili lazime uteseke na hawa viumbe.
Binafsi nikishamuelewa mrembo hua namfata face to face nitamsifia na kumuonyesha kua nimemuelewa, kinachafata ni kuomba tu namba huku akijua dhamiri yangu ya kutaka namba yake, akinipea tu namba hio ndio green light ya kunikubali, na mambo ya kubebishana huaga sina mpaka nikishakula mzigo ndio kidogo nitaanza kumzingatia.
Demu akishaanza kuleta sitaki nataka hua napiga zangu tu kimya, kama atakua kanielewa basi yeye ndie ataanza kushoboka.
Hivi viumbe ukivipa attention sana ndio kama vile unakua anajiweka mbali navyo.
Hamna nimeshangaa tu ulivyosema pisi kali ambayo hujawai kuiona kwa miaka mingiKwann mkuu
Upo kama mimi mkuuKosa kubwa kwa wanawake wa siku hizi ni kujifanya unamzingatia sana, wewe weka mazingira tu afike gheto, baada ya kufika gheto yeye ndie atakua wa kwanza kukuzingatia wewe.
Mademu wa siku hizi kabla ya kumkula unatakiwa ujitahidi sana kubalance shobo, ma sms ya kila mara bebi umeshakula ndio yanafanya mtu ajione keki ajitenge mbali na wewe.
Well saidUkiona green light alafu ukaona she's very beautiful, unakuwa interested and you be like "damn I need this girl" si ndio???
Unaanza kumkubali, unaanza kumpenda , Unaanza kumuelewa, whatever!!
Kinachofata ubongo wako unaandaa strategy ya kumpata, na strategy ya kwanza kabisaa ambayo ni natural ni kuanza kumuonyesha that you love her, hapo unaanza ku- care, texting and phoning her ten times a day, unakuwa mpole, you treat her like queen, you make sure you don't do anything she won't like, you try your best to be close to her and stuffs like that, uh? And hii huwa inakuja automatically! That's a mistake because you start chasing her, unapoteza mvuto unapoteza thamani anaanza kukuona wa kawaida! That's how they are, ukionyesha kuwataka sanaaa wanaenda kule wanapoonekana hawatakwi!
What to do? Ukianza kumuelewa tu, just control your emotions and be as cold as ice! Sometimes take care sometimes just ignore her, ili iwe time yake to chase you!
Be prepared to loose her, kwani don't you know loosing is the part of the game mh?
Okay kuwa rude, cold, not texting her and act like you don't need her at all, alafu sasa sometimes jifanye kama unamtaka hivi kiaina!!!
She gon be yours, man!
Kweli mkuu hii pisi nimeiona njiani nikiwa nawahi usafiri, kitendo cha kumuona tu muonekano wake na mavazi nilivutiwa nae, nikataka kumsalimia kuna boda akamsimamisha mimi nikawapita spidi.Hamna nimeshangaa tu ulivyosema pisi kali ambayo hujawai kuiona kwa miaka mingi
ili akupotezee mazima, jichanganye tu umpotezee nae anapita kama upepo. pesa ndo inafanya wepesi.Kumbe ndio walivyo hawa kenge.....dah leo nimepata somo kubwa sana. So wee jidahi huna time nae au sio
Kocha nabi ebwana huko ka,ier chiefs siwezi kupata kazi ya kuosha viatu vya wachezaji?ili akupotezee mazima.
tudeal na hawa viumbe wasioeleweka.Kocha nabi ebwana huko ka,ier chiefs siwezi kupata kazi ya kuosha viatu vya wachezaji?
Hawa mbona hela tuu unawakula wala hamna story nyingi na wao wenyewe wanajua kunusa mwanaume mwenye helatudeal na hawa viumbe wasioeleweka.
100%Usipolijua hili lazime uteseke na hawa viumbe.
Binafsi nikishamuelewa mrembo hua namfata face to face nitamsifia na kumuonyesha kua nimemuelewa, kinachafata ni kuomba tu namba huku akijua dhamiri yangu ya kutaka namba yake, akinipea tu namba hio ndio green light ya kunikubali, na mambo ya kubebishana huaga sina mpaka nikishakula mzigo ndio kidogo nitaanza kumzingatia.
Demu akishaanza kuleta sitaki nataka hua napiga zangu tu kimya, kama atakua kanielewa basi yeye ndie ataanza kushoboka.
Hivi viumbe ukivipa attention sana ndio kama vile unakua anajiweka mbali navyo.
Hadi wewe somo ulijui sheikhKumbe ndio walivyo hawa kenge.....dah leo nimepata somo kubwa sana. So wee jidahi huna time nae au sio