bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 767
- 1,083
- Thread starter
- #181
Thanks mkuu!Mi kwa biashara yangu natoa laki 8 halafu naenda kuweka Mil 3 kwenye line tofauti halafu nihamishie sim bank, ikija sual la hela hamna aibu hata 100 Kama inatibu matatizo yako unatoa