Watu wanatoa TZS 650 kwenye iphone na sumsung galaxy latest versions!jamani unatoa buku mbili afu unatumia simu ya laki tatu aibu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanatoa TZS 650 kwenye iphone na sumsung galaxy latest versions!jamani unatoa buku mbili afu unatumia simu ya laki tatu aibu!!
Kuto jikubali Ni utumwa wa kifkraWakati wewe unahangaika kutoa 4,000 mwanaume anakuja kuweka 400,000
Yes,NMB mwaka 2008 nilitoa buku 2 ikagoma,nikajaribu buku ikakubali!Kumbe salio lilikuwa linasoma 2100!Daah na hapo nilikuwa nimetembea kutoka tumbi hospital mpaka maili moja kibaha!NMB zamani tulikuwa tunatoa hadi buku
Yes,NMB mwaka 2008 nilitoa buku 2 ikagoma,nikajaribu buku ikakubali!Kumbe salio lilikuwa linasoma 2100!Daah na hapo nilikuwa nimetembea kutoka tumbi hospital mpaka maili moja kibaha!
Kwani wewe unadhani nini maana ya utajiri?
Kuwa na pesa kama zako ambazo huwezi kutoa pesa chini ya elfu kumi
Mihemko iko wapi? Hivi nilishawahi kukuambia kuwa una kauli mbovuPunguza mihemuko ya hasira kwanza ili twende sawa Mama.
Kuwa na pesa kama zako ambazo huwezi kutoa pesa chini ya elfu kumi
Mihemko iko wapi? Hivi nilishawahi kukuambia kuwa una kauli mbovu
Binafisi natambua maana ya utajiri ni kuwa hai kiroho, kiafya, kiakili na kimwili.
Kwako, nini maana ya utajiri?
Tatizo ulishajiandaa na majibu kwa kunichukulia tofauti ulivyonihukumu ndivyo sivyo, so nijibu kwa upole tu nini maana ya utajiri?
Jaman huwa napata aibu nikitoa chini ya tsh.5,000. je wewe huwa unaona so ukitoa sh ngapi?
Daaah!...? Kwani leo uliamkia upande gani Bibiye, au ulikanyaga kinyesi cha nguruwe nini Mama la Mama?Nimeshakupa maana ninayoijua unataka niirudie tena?
Nimeshakujibu
SawaSi bure, nadhani leo utakuwa hauko vzr kichwani kisaikolojia Mama, maana huyu si Khantwe ninayemfahamu mimi.
Wewe wasemaDaaah!...? Kwani leo uliamkia upande gani Bibiye, au ulikanyaga kinyesi cha nguruwe nini Mama la Mama?