Nikitoa sh.4000 kwa wakala huwa naona aibu, wewe je?

NMB zamani tulikuwa tunatoa hadi buku
Yes,NMB mwaka 2008 nilitoa buku 2 ikagoma,nikajaribu buku ikakubali!Kumbe salio lilikuwa linasoma 2100!Daah na hapo nilikuwa nimetembea kutoka tumbi hospital mpaka maili moja kibaha!
 
Haha aisee kufulia kubaya
Yes,NMB mwaka 2008 nilitoa buku 2 ikagoma,nikajaribu buku ikakubali!Kumbe salio lilikuwa linasoma 2100!Daah na hapo nilikuwa nimetembea kutoka tumbi hospital mpaka maili moja kibaha!
 
Kunaday nlitoaga buku...... Kwa mdad mzuriii kichwni ananywere z bandiA.... Na hanionei ibu[emoji23][emoji23]
 
Mi kwa biashara yangu natoa laki 8 halafu naenda kuweka Mil 3 kwenye line tofauti halafu nihamishie sim bank, ikija sual la hela hamna aibu hata 100 Kama inatibu matatizo yako unatoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…