Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hello kuna vitu wazazi walikuwa wanatukataza kabisa kuvifanya na ikibidi ata fimbo utapigwa ila wapi ujaacha
Mimi kula nimelala au nikiwa na kula situlii sehemu moja nitatembea tembea mpaka namaliza kula naweza chukua lisaa kabisa
Kingineni engeezee ni kunywa maji nikiwa nimelala nishakatazwa sana mpaka sasa ila sijaacha je wewe?
Mimi kula nimelala au nikiwa na kula situlii sehemu moja nitatembea tembea mpaka namaliza kula naweza chukua lisaa kabisa
Kingineni engeezee ni kunywa maji nikiwa nimelala nishakatazwa sana mpaka sasa ila sijaacha je wewe?